John Peter ni nani kwake? Kwanini ametoa taarifa kwa umma ya kumlinda kwa kusema dereva alishambuliwa na kitu chenye ncha kali wakati alishambuliwa kwa risasi!
Wakamroge.
Kuna jamaa Jw alienda date huko Nkasi kutoka 44 akawa anakula m ususu anadanganya ataoa weeee!!!. Alikula kitu Moja roho inapenda. Yuko 971 rgt hapo haamini macho yake.