RPC Dodoma atumbuliwa baada ya kutoa taarifa tata ya binti kulawitiwa anaweza kuwa anajiuza

Aliyeelewa mabadiliko yaliyofanywa anielewesha kwa jinsi nilivyosoma mbona huyo RPC ni kama kabadilishiwa tu sehemu ya kazi?🤔
Yes,katolewa tu kwenye ulaji na posho lukuki anaenda soma magazeti
 
Aliyeelewa mabadiliko yaliyofanywa anielewesha kwa jinsi nilivyosoma mbona huyo RPC ni kama kabadilishiwa tu sehemu ya kazi?🤔
Yes,katolewa tu kwenye ulaji na posho lukuki anaenda soma magazeti
 

Kuna kitu hakiko sawa kwenye hili jeshi la IGP Wambura. Muda unaongea mengi na yanaanza kusikika. Polisi kuamua kusema alichosema huyo aliyetolewa ni kuwadharau watanzania na kulidhalilisha jeshi la polisi
 
Kumeozaa
 
Huyu mama nae hata kujiongeza kashindwa,angejibu tu bado nae kaingia Box
 
Ngoja mama etu akatulie makao makuu ajisomee magazeti pengine akili itamuingia vizuri...
 
Viongozi wenye dhamana ya kuwa wasemaji au wenye majukwaa ya kusemea, wanapaswa kuwa makini na kutafakari vema kabla ya kutoa kauli zao kwa umma. Katikati ya sakata la binti mtajwa, haikupendeza kiongozi kutoa kauli nyepesi na za kubeza tukio zima; ingawa pia makosa ya bangi, kujiuza na hata kurusha picha chafu mitandaoni bado yanahojika kisheria. Hii haina tofauti na yule aliyezungumzia kuiba kura wakati anajua Bosi wake anapambana kurejesha maelewano (harmony) ya kitaifa..!
 
Nice move jeshi la polisi limejaa genge la wahauni na mambo machafu waache kulindana walinde raia na haki zao

Tunasubiria huyo afande wamtaje aliohusika na ubakaji.
 
1. Hivi "Malaya" anapoteza haki zake kama raia?

2. Kimsingi umalaya (chovya chovya) ni sehemu ya tamaduni zetu huku Tanganyika -nadra kukuta mtu mwenye mapenzi mmoja, hivyo tukae kwa tahadhari hali ni mbaya.
 

Attachments

  • cf533c75e95441ab8b37eb34bd72a716_455728847_18348873718189072_3131131201557665363_n.jpg
    131.3 KB · Views: 2
Tujikumbushe kidogo
 

Attachments

  • 20240819_141346.jpg
    133.9 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…