RPC Dodoma atumbuliwa baada ya kutoa taarifa tata ya binti kulawitiwa anaweza kuwa anajiuza

RPC Dodoma atumbuliwa baada ya kutoa taarifa tata ya binti kulawitiwa anaweza kuwa anajiuza

UPDATE: TAARIFA HII IMEFUTWA/IMEONDOLEWA KATIKA UKURASA WA JESHI LA POLISI.

Kupitia Ukurasa Rasmi wa Jeshi la Polisi Katika Mtandao wa Instagram, imewekwa taarifa kufafanua kauli ya aliyekuwa RPC wa Dodoma, Theopista Mallya kunukuliwa na vyombo vya habari akieleza kuwa:
"ANAYEDAIWA KUBAKWA NA KULAWITIWA ALIKUWA KAMA ANAJIUZA",

Taarifa hiyo imeeleza zaidi kuwa:

"Aidha wakati uchunguzi huo wa kupata usahihi wa kauli hizo, Mkuu wa Jeshi la Polisi amefanya mabadiliko madogo kwa kumhamisha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi SACP Theopista Mallya kwenda Makao Maku ya Polisi Dodoma na nafasi yake inachukuliwa na Kamishna Msaidizi Mwandamizi SACP George Katabazi."

View attachment 3073887
Hiv Afande ni ww kwel? Maana nna muda nkiwa nafuatilia utendaji ngazi ya wilaya akiwa OCD sijui na ulifanya vzur ,hata ulipopata u RPC nlifurai sana ,ila Kwa Hili jaman umekera sana ,,Bora ungelaumiwa kukaa kmya kulko kuongea hayo,alaf nlikua eti najidanganya kua ww ni mcha Mungu sana na huwez potosha haki ya mnyonge '' au basi maana na mm ni kama nimevuta bangi na mlevi
 
UPDATE: TAARIFA HII IMEFUTWA/IMEONDOLEWA KATIKA UKURASA WA JESHI LA POLISI.

Kupitia Ukurasa Rasmi wa Jeshi la Polisi Katika Mtandao wa Instagram, imewekwa taarifa kufafanua kauli ya aliyekuwa RPC wa Dodoma, Theopista Mallya kunukuliwa na vyombo vya habari akieleza kuwa:
"ANAYEDAIWA KUBAKWA NA KULAWITIWA ALIKUWA KAMA ANAJIUZA",

Taarifa hiyo imeeleza zaidi kuwa:

"Aidha wakati uchunguzi huo wa kupata usahihi wa kauli hizo, Mkuu wa Jeshi la Polisi amefanya mabadiliko madogo kwa kumhamisha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi SACP Theopista Mallya kwenda Makao Maku ya Polisi Dodoma na nafasi yake inachukuliwa na Kamishna Msaidizi Mwandamizi SACP George Katabazi."

View attachment 3073887
Uvccm wako wapi kutetea Wapiga kura wao jamani mbona kimyaaa?

Choicevariable,
Chiembe,
lucas Mwashamba pazeni sauti za Wapiga kura
 
Haya mambo ni yanafanyik hii nchi tu !! Chombo hicho hicho ila mkorogano ni kama vyombo viwili tofauti. Ni kwa sababu ya elimu ndogo kwa watendaji au nini shida ?

Maana kupokea form IV leaver nayo ni tatizo ...... sasa akili ya kushindwa inapo ongoza akili mnemba mambo yanagoma kabisa
 
1724057484150.jpg
 
Hilo tayari!!! Bado jambo hili muhimu kwa faida ya uchumi wa nchi
 
Hilo tayari!!! Bado jambo hili muhimu kwa faida ya uchumi wa nchi
 
Imagine umelala RPC alafu uliwaambia vijana wako kesho asubuhi muende mahala flani mkafanye 1& 2 nitawapa maelekezo vizuri asubuhi, halafu asubuhi unaamka afande wa kawaida na wewe unaambiwa uwahi zamu😅
Ameondolewa madaraka tu, lakini rank yake inabaki palepale, zile bahasha za URPC ndio basi tena.

Makao makuu ni kusoma magazeti tu hakuna wa kukuletea rushwa.
 
Back
Top Bottom