Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Sawa ila yuko benchi, Hana maamuzi tenaAmebadilishwa kazi tu lakini bado ni Polisi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ila yuko benchi, Hana maamuzi tenaAmebadilishwa kazi tu lakini bado ni Polisi!
Lakini kaishanyolewaAmebadilishwa kazi tu lakini bado ni Polisi!
Ulikuwa unaona kama najifurahisha na kupoteza muda tu?Sasa nimeamini jf ndio mtandao wa kuaminiwa !!
Asante Mungu Kwa akili ya mwanzilishi wa mtandao huu!
Hiv Afande ni ww kwel? Maana nna muda nkiwa nafuatilia utendaji ngazi ya wilaya akiwa OCD sijui na ulifanya vzur ,hata ulipopata u RPC nlifurai sana ,ila Kwa Hili jaman umekera sana ,,Bora ungelaumiwa kukaa kmya kulko kuongea hayo,alaf nlikua eti najidanganya kua ww ni mcha Mungu sana na huwez potosha haki ya mnyonge '' au basi maana na mm ni kama nimevuta bangi na mleviUPDATE: TAARIFA HII IMEFUTWA/IMEONDOLEWA KATIKA UKURASA WA JESHI LA POLISI.
Kupitia Ukurasa Rasmi wa Jeshi la Polisi Katika Mtandao wa Instagram, imewekwa taarifa kufafanua kauli ya aliyekuwa RPC wa Dodoma, Theopista Mallya kunukuliwa na vyombo vya habari akieleza kuwa:
"ANAYEDAIWA KUBAKWA NA KULAWITIWA ALIKUWA KAMA ANAJIUZA",
Taarifa hiyo imeeleza zaidi kuwa:
"Aidha wakati uchunguzi huo wa kupata usahihi wa kauli hizo, Mkuu wa Jeshi la Polisi amefanya mabadiliko madogo kwa kumhamisha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi SACP Theopista Mallya kwenda Makao Maku ya Polisi Dodoma na nafasi yake inachukuliwa na Kamishna Msaidizi Mwandamizi SACP George Katabazi."
View attachment 3073887
We naye ni bendera fuata upepoGood
Tangu Prof Kabudi arejeshwe Barazani Imani yangu Kwa Rais Dr Samia imekuwa ni ya kutukuka 😀😀🌹
Upande upi? Juu au wapi?Lakini kaishanyolewa
Uvccm wako wapi kutetea Wapiga kura wao jamani mbona kimyaaa?UPDATE: TAARIFA HII IMEFUTWA/IMEONDOLEWA KATIKA UKURASA WA JESHI LA POLISI.
Kupitia Ukurasa Rasmi wa Jeshi la Polisi Katika Mtandao wa Instagram, imewekwa taarifa kufafanua kauli ya aliyekuwa RPC wa Dodoma, Theopista Mallya kunukuliwa na vyombo vya habari akieleza kuwa:
"ANAYEDAIWA KUBAKWA NA KULAWITIWA ALIKUWA KAMA ANAJIUZA",
Taarifa hiyo imeeleza zaidi kuwa:
"Aidha wakati uchunguzi huo wa kupata usahihi wa kauli hizo, Mkuu wa Jeshi la Polisi amefanya mabadiliko madogo kwa kumhamisha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi SACP Theopista Mallya kwenda Makao Maku ya Polisi Dodoma na nafasi yake inachukuliwa na Kamishna Msaidizi Mwandamizi SACP George Katabazi."
View attachment 3073887
🤣🤣Haya nimekoma mimiUpande upi? Juu au wapi?
Ni majambazi wanaovaa uniformPolisi wote ni waovu sn
Acha bangiGood
Tangu Prof Kabudi arejeshwe Barazani Imani yangu Kwa Rais Dr Samia imekuwa ni ya kutukuka 😀😀🌹
Mrombo mwenzio huyo 😀Polisi wote ni waovu sn
Lucas ndiyo ule msukule unaojaza mapambio ya kusifia watu waovu humu?Uvccm wako wapi kutetea Wapiga kura wao jamani mbona kimyaaa?
Choicevariable,
Chiembe,
lucas Mwashamba pazeni sauti za Wapiga kura
Ameondolewa madaraka tu, lakini rank yake inabaki palepale, zile bahasha za URPC ndio basi tena.Imagine umelala RPC alafu uliwaambia vijana wako kesho asubuhi muende mahala flani mkafanye 1& 2 nitawapa maelekezo vizuri asubuhi, halafu asubuhi unaamka afande wa kawaida na wewe unaambiwa uwahi zamu😅