RPC Dodoma atumbuliwa baada ya kutoa taarifa tata ya binti kulawitiwa anaweza kuwa anajiuza

RPC Dodoma atumbuliwa baada ya kutoa taarifa tata ya binti kulawitiwa anaweza kuwa anajiuza

Teuzi za akina Dr Mwigullu, Dr Kigwangalla, MwanaDiwani nk zote zilianzia hapa Jf

Bado Lucas na ChoiceVariable 😂
DR Bashiru Ally kakurwa Bado huko kupewa umakam mwenyekiti!!?

Huyo ndio anaweza leta imani za wajomba zangu huko Kanda ya ziwa huko Ili 2025 tupate mserereko kushika dola!
 
Sasa nimeamini jf ndio mtandao wa kuaminiwa !!

Asante Mungu Kwa akili ya mwanzilishi wa mtandao huu!
Wanaharakati ndo wamepush hii pressure huko Facebook na twitter na si unajua kule pakichafuka serikali chap inareact maana kuna kundi kubwa sana la wanaohemuka na matukio tofauti na JF wenye akili na elimu ni wengi.
 
Imagine umelala RPC alafu uliwaambia vijana wako kesho asubuhi muende mahala flani mkafanye 1& 2 nitawapa maelekezo vizuri asubuhi, halafu asubuhi unaamka afande wa kawaida na wewe unaambiwa uwahi zamu😅
 
Haina kusubiria hii, kapigwa bench, saafi sana
IMG-20240819-WA0041.jpg
 
Safi sana. Yule mama hana akili.

Hata kama mtu anajiuza ndio abakwe hadharani na kulawitiwa na kisha kusambazwa mitandaoni?

Sheria ya cyber crime inasemaje, inakataza kusambaza maudhui ya ngono. Sheria za Tanzania zinakataza kulawiti, kufira na kusambaza maudhui ya ngono.

Yule mama hata huo u rpc aliupataje?
Usishangae aliye watuma wale vijana na huyo Rpc ni marafiki, akaona amlinde.
 
Back
Top Bottom