Sheria pia ziwabane wanaochepuka na wachumba na wake za watu.Good
Tangu Prof Kabudi arejeshwe Barazani Imani yangu Kwa Rais Dr Samia imekuwa ni ya kutukuka 😀😀🌹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria pia ziwabane wanaochepuka na wachumba na wake za watu.Good
Tangu Prof Kabudi arejeshwe Barazani Imani yangu Kwa Rais Dr Samia imekuwa ni ya kutukuka 😀😀🌹
Uzuri hata pesa ya uhamisho hapati maana makao makuu ni hapohapo dodoma...Mdomo umemponza..
ni heri angesema "bado uchunguzi unaendelea", kama wafanyavyo wengine..
ngoja arudi makao akasome magaazeti sasa.
Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie,huyu mama ana roho mbaya sana hata sijui kama ana mume.Hiv Afande ni ww kwel? Maana nna muda nkiwa nafuatilia utendaji ngazi ya wilaya akiwa OCD sijui na ulifanya vzur ,hata ulipopata u RPC nlifurai sana ,ila Kwa Hili jaman umekera sana ,,Bora ungelaumiwa kukaa kmya kulko kuongea hayo,alaf nlikua eti najidanganya kua ww ni mcha Mungu sana na huwez potosha haki ya mnyonge '' au basi maana na mm ni kama nimevuta bangi na mlevi
Kati ya Watoto wadogo na huyo dada ni wapi kulitakiwa kuwa na public interest?Hapa kulikuwa na uwezekano wa kulindana na kesi ina public interest kwa sababu suspects ni wanadhaniwa ni kuwa watu wa wizara inayotakiwa kutulinda sisi na mali zetu.Hiyo ya watoto watatu unaweza ukawasilana naye kupitia vyanzo vinavyohusika.
Nini hasara ya kurudi makao makuu kusoma magezeti?ngoja arudi makao akasome magaazeti sasa.
Mbona alie piga watu na kuongoza wenzake kuiba pesa na simu mmekaa kimya?Tumeona taarifa kwenye vyombo vya habari yenye kichwa cha habari kinachosema, "RPC; ANAYEDAIWA KUBAKWA NA KULAWITIWA ALIKUWA KAMA ANAJIUZA", kauli inayodaiwa kutolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma. Hayo yametokana na mazungumzo kwa njia ya simu na Mwandishi wa gazeti la Mwananchi ambaye miongoni mwa maswali aliyomuuliza kamanda (mwandishi huyo), Je upelelezi wa kesi umekamilika? na swali lingine alilomuuliza inadaiwa alikuwa anajiuza? Majibu ya kamanda aliyomjibu mwandishi huyo ni kwamba hata kama ni hivyo hangestahili kutendewa hivyo.
Jeshi la Polisi lingependa kutoa taarifa kuwa kauli hiyo kama inavyoonekana kwenye hicho kichwa cha habari siyo msimamo wa Jeshi la Polisi kauli sahihi ni kama zilivyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi kwa umma Agosti 4,6 na 9,2024. Vilevile tungependa kujulisha kuwa watuhumiwa watafikishwa mahakamani leo Agosti 19,2024.
Jeshi la Polisi lingependa kuomba radhi kwa kila mmoja aliyeguswa na kuchukizwa na kauli hiyo inayosambaa kwenye vyombo vya habari wakati ufuatiliaji ukifanyika kupata usahihi wake. Aidha wakati uchunguzi huo wa kupata usahihi wa kauli hizo, Mkuu wa Jeshi la Polisi amefanya mabadiliko madogo kwa kumhamisha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi SACP Theopista Mallya kwenda Makao Makuu ya Polisi Dodoma na nafasi yake inachukuliwa na Kamishna Msaidizi Mwandamizi SACP George Katabazi.
View attachment 3073887
Pia soma>> Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na Afande, yule dada alikuwa kama anajiuza
AibuMambo haya sasa katabazi amekula shavu
luca ndio huyo huyo choice boy,mtu mmojaTeuzi za akina Dr Mwigullu, Dr Kigwangalla, MwanaDiwani nk zote zilianzia hapa Jf
Bado Lucas na ChoiceVariable 😂
Kwani alikuwa peke yakeSasa nimeamini jf ndio mtandao wa kuaminiwa !!
Asante Mungu Kwa akili ya mwanzilishi wa mtandao huu!
Hatutaki kujua kazi ya binti, kama ambavyo hatutaki kujua "kazi" iliyowafikisha wewe na huyo afande huko juu!Lakini kasema ukweli
Yule dogo anaonekana alikua ndio kazi yake Ile
Shida ni wale jamaa kumrekodi na kumpiga mande
Inawezekana dogo alielewana na mmoja ila majamaa yakaamua kumkomoa
Mabinti acheni tamaa
Kuna vijana wanaosadikika kuwa watumishi wa JWTZ, walimteka binti wakamla mande wakarekodi na kusambaza video.....kumekucha na kauli za sintofahamu kutoka Kwa mamlaka za jeshi la police katika kushugulikia jambo hloSikuhizi napitwa Kuna nn tena
Maswali mengine ni ya kimtego alafu yanakera.ukiwa kiongozi Unapaswa uwe mjanja mjanja sana mwenye kujibu maswali
Mkuu hauelewi maana ya kuwekwa benchi'nini?Nini hasara ya kurudi makao makuu kusoma magezeti?
hasara ni kuwa atakuwa anapata mshahara na posho bhassss.Nini hasara ya kurudi makao makuu kusoma magezeti?
[emoji7]Hatutaki kujua kazi ya binti, kama ambavyo hatutaki kujua "kazi" iliyowafikisha wewe na huyo afande huko juu!
Naona wateja mlivyofurahi wallah!Good
Tangu Prof Kabudi arejeshwe Barazani Imani yangu Kwa Rais Dr Samia imekuwa ni ya kutukuka 😀😀🌹