RPC Dodoma atumbuliwa baada ya kutoa taarifa tata ya binti kulawitiwa anaweza kuwa anajiuza

Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie,huyu mama ana roho mbaya sana hata sijui kama ana mume.
 
Hapa kulikuwa na uwezekano wa kulindana na kesi ina public interest kwa sababu suspects ni wanadhaniwa ni kuwa watu wa wizara inayotakiwa kutulinda sisi na mali zetu.Hiyo ya watoto watatu unaweza ukawasilana naye kupitia vyanzo vinavyohusika.
Kati ya Watoto wadogo na huyo dada ni wapi kulitakiwa kuwa na public interest?

Nani hasa alitakiwa kutendewa Haki? Watoto au huyo binti mzoefu?
 
Mbona alie piga watu na kuongoza wenzake kuiba pesa na simu mmekaa kimya?
Haya ni maigizo..
Tuna taka kusikia IGP na kamishna wake na Waziri wake wamejjongeza na kuguachia ofisi zetu.
 
Huyu mama kazi yake ni Nzuri sana!Ila kwenye hili ulimi umemponza,ulimi kiungo kidogo madhara yake ni makubwa sana.
 
Lakini kasema ukweli
Yule dogo anaonekana alikua ndio kazi yake Ile

Shida ni wale jamaa kumrekodi na kumpiga mande

Inawezekana dogo alielewana na mmoja ila majamaa yakaamua kumkomoa

Mabinti acheni tamaa
Hatutaki kujua kazi ya binti, kama ambavyo hatutaki kujua "kazi" iliyowafikisha wewe na huyo afande huko juu!
 
Sikuhizi napitwa Kuna nn tena
Kuna vijana wanaosadikika kuwa watumishi wa JWTZ, walimteka binti wakamla mande wakarekodi na kusambaza video.....kumekucha na kauli za sintofahamu kutoka Kwa mamlaka za jeshi la police katika kushugulikia jambo hlo
 
ukiwa kiongozi Unapaswa uwe mjanja mjanja sana mwenye kujibu maswali
Maswali mengine ni ya kimtego alafu yanakera.

Ukijiingiza tu huchomoki asee ULIMI umeponza watu sana na ndio mana Misukule inakatwa ulimi inavyosemekana lakini.
 
Nini hasara ya kurudi makao makuu kusoma magezeti?
Mkuu hauelewi maana ya kuwekwa benchi'nini?

Rpc ana cheo na madaraka.

Kurudishwa makao makuu kanyang'anywa madaraka na kubakiwa na cheo.

Au na ufafanuzi huu bado hauelewi faida yake?
 
Taifa si pori wala kichaka.....

Ya baba wa taifa hayati JKN na "kila mtu ANASTAHILI heshima ya KUTAMBULIWA na KUTHAMINIWA UTU wake".

Mama Samia ana utu....

Watanzania silaha yetu ni utu.....

#Nchi Kwanza[emoji7]
#Utu Wa Watanzania [emoji7]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…