wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
IGP Sirro amefanya mabadiliko madogo kwenye safu ya makamanda wa mikoa
RPC Jumanne Kingai wa Kinondoni amehamishiwa Kigoma na nafasi yake imechukuliwa na RPC wa.Lindi
Kadhalika aliyekuwa RCO wa Tanga anakwenda kuwa RPC wa Lindi
Source ITV habari
Huyo alopelekwa kigoma akafanya kama alokuwa anafanya hapa aone mziki wake