Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Katili yeyote Kwa ndani kabisa huwa ni mtu muoga!!Magufuli alifosiwa kuwa vile na ndivyo mama anavyofosiwa awe kama magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katili yeyote Kwa ndani kabisa huwa ni mtu muoga!!Magufuli alifosiwa kuwa vile na ndivyo mama anavyofosiwa awe kama magufuli
RPC amekana kuwakamata, so wataachiwaje?Hawana makosa yoyote , wataachiwa huru
IGP anasema "wakome".Hawana makosa yoyote , wataachiwa huru
Wamekomaa!!IGP anasema "wakome".
😄😄 Ukisimama kwenye Ukweli' Daima wale Waongo Waongo watakuona mnafiki tuHuyo jamaa ni bonge la mnafiki.
Mpaka sasa tunajua walipo , usicheze na sisi mkuu , sisi ni nchi ndani ya nchi , hata mnaowatuma wamechoka , ikiwa mkataba wa bandari ulivunjishwa ndio tushindwe kuvujishiwa alipo Mwabukusi ?Kusema tutawahamasisha wananchi wasilipe Kodi siyo kosa!?..huo ni uhujumu uchumi na pia uhaini,serikali yoyote duniani inategemea Kodi kuwa hai,na ikiwa kweli wamedakwa na kamanda kasema Hana taarifa..basi mpigieni simu ulimboka
Tayari tumeanzisha kampeni ya kumng'oa IGP , akimaliza mwezi huu ofisini akatambike , hana uwezoIGP anasema "wakome".
Msingewahi kuripoti kupotea kwao, wangepotezwa mazima.Mpaka sasa tunajua walipo , usicheze na sisi mkuu , sisi ni nchi ndani ya nchi , hata mnaowatuma wamechoka , ikiwa mkataba wa bandari ulivunjishwa ndio tushindwe kuvujishiwa alipo Mwabukusi ?
KawachukueniMpaka sasa tunajua walipo , usicheze na sisi mkuu , sisi ni nchi ndani ya nchi , hata mnaowatuma wamechoka , ikiwa mkataba wa bandari ulivunjishwa ndio tushindwe kuvujishiwa alipo Mwabukusi ?
Unachukua sheria mkononi ukiwa JF kamandaPolisi wana utaratibu unaowaelekeza namna ya kumkamata mtuhumiwa. Kama taratibu hizo zisipofuatwa, wananchi inabidi kuchukua sheria mkononi maana hao watakuwa ni majambazi, na siyo polisi.
Acha shobo mtoto wa kike utapakatwa uanze kuliaWatakua wametekana wenyewe hao wanatafuta Kiki huwajui chadema nini.
Magufuli alileta Diipii weld ipiMagufuli alifosiwa kuwa vile na ndivyo mama anavyofosiwa awe kama magufuli
Kiazi mbatataWatakua wametekana wenyewe hao wanatafuta Kiki huwajui chadema nini.
Mbona Makamanda wapo wengi sana wamekaa tu makao makuu pale? Umewasahau?Tayari tumeanzisha kampeni ya kumng'oa IGP , akimaliza mwezi huu ofisini akatambike , hana uwezo
Hahahaha mbowe katuma kikundi kuwateka hahahahaView attachment 2715180
Kufuatia habari zilizoripotiwa katika mitandao ya kijamii kuhusu kushikiliwa kwa katibu wa CHADEMA kanda ya kati Emmanuel Masonga, Wakili Boniface Mwabukusi na na kada maarufu wa CHADEMA Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA) maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro na watu waliojitambulisha kuwa ni maafisa wa jeshi la polisi kwa maelekezo ya Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro, Kamanda wa jeshi la polisi mkoani humo Alex Mkama amesema, hana taarifa za kushikiliwa kwa katibu huyo na wenzake wawili.
Akiongea na Mwandishi wa Jambo TV kutoka mkoani Morogoro RPC Mkama ameeleza kuwa, wanaotoa taarifa hizo hawana uhakika nazo.
Katika mitandao ya kijamii mapema asubuhi ya leo zilisambaa kwa kasi taarifa za watatu hao kukamatwa na watu waliojitambulisha kuwa ni maafisa wa jeshi la polisi maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro hali iliyopelekea kuzua taharuki kwa wananchi wengi.
Pia soma: Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam
Kamuulize kabudi, au pitia tovuti y ICSID uone sheria za Magu na Kabudi zinavyotutesa leo. Hii fresh kairipuwa bwana mdogo wake:Magufuli alileta Diipii weld ipi
Waendelee tu, waasiseme hawajambiwa.Wamekomaa!!
Sasa mnalialia nini?🤣Wamekomaa!!