RPC Morogoro: Sina taarifa ya kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude na Masonga

RPC Morogoro: Sina taarifa ya kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude na Masonga

Kusema tutawahamasisha wananchi wasilipe Kodi siyo kosa!?..huo ni uhujumu uchumi na pia uhaini,serikali yoyote duniani inategemea Kodi kuwa hai,na ikiwa kweli wamedakwa na kamanda kasema Hana taarifa..basi mpigieni simu ulimboka
Mpaka sasa tunajua walipo , usicheze na sisi mkuu , sisi ni nchi ndani ya nchi , hata mnaowatuma wamechoka , ikiwa mkataba wa bandari ulivunjishwa ndio tushindwe kuvujishiwa alipo Mwabukusi ?
 
Mpaka sasa tunajua walipo , usicheze na sisi mkuu , sisi ni nchi ndani ya nchi , hata mnaowatuma wamechoka , ikiwa mkataba wa bandari ulivunjishwa ndio tushindwe kuvujishiwa alipo Mwabukusi ?
Msingewahi kuripoti kupotea kwao, wangepotezwa mazima.

There is no EVIL plan without a mistake.

Watashindana lakini hawatoshinda!!!
 
Polisi wana utaratibu unaowaelekeza namna ya kumkamata mtuhumiwa. Kama taratibu hizo zisipofuatwa, wananchi inabidi kuchukua sheria mkononi maana hao watakuwa ni majambazi, na siyo polisi.
Unachukua sheria mkononi ukiwa JF kamanda
 
View attachment 2715180

Kufuatia habari zilizoripotiwa katika mitandao ya kijamii kuhusu kushikiliwa kwa katibu wa CHADEMA kanda ya kati Emmanuel Masonga, Wakili Boniface Mwabukusi na na kada maarufu wa CHADEMA Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA) maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro na watu waliojitambulisha kuwa ni maafisa wa jeshi la polisi kwa maelekezo ya Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro, Kamanda wa jeshi la polisi mkoani humo Alex Mkama amesema, hana taarifa za kushikiliwa kwa katibu huyo na wenzake wawili.

Akiongea na Mwandishi wa Jambo TV kutoka mkoani Morogoro RPC Mkama ameeleza kuwa, wanaotoa taarifa hizo hawana uhakika nazo.

Katika mitandao ya kijamii mapema asubuhi ya leo zilisambaa kwa kasi taarifa za watatu hao kukamatwa na watu waliojitambulisha kuwa ni maafisa wa jeshi la polisi maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro hali iliyopelekea kuzua taharuki kwa wananchi wengi.

Pia soma: Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam
Hahahaha mbowe katuma kikundi kuwateka hahahaha
 
Magufuli alileta Diipii weld ipi
Kamuulize kabudi, au pitia tovuti y ICSID uone sheria za Magu na Kabudi zinavyotutesa leo. Hii fresh kairipuwa bwana mdogo wake:

  • Claimant(s)/Nationality(ies): (i)
    Brian Malcolm Thomson (British), Pennyroyal Limited (Mauritian)
  • Respondent(s):
    United Republic of Tanzania (Tanzanian)
  • Date Registered:
    July 20, 2023
  • Party Representatives​

  • Claimant(s):
    Steptoe & Johnson, London, U.K., and Washington, D.C., U.S.A.
  • Respondent(s):
    Office of the Solicitor General, Dar es Salaam, United Republic of Tanzania
  • Status of Proceeding:
    Pending
  • Latest Development:
    July 20, 2023 -
    The Acting Secretary-General registers a request for the institution of arbitration proceedings.
 
Back
Top Bottom