Spika alikaziaIle kauli ilikuwa ni ya kututayarisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Spika alikaziaIle kauli ilikuwa ni ya kututayarisha.
Wivu tuTayari tumeanzisha kampeni ya kumng'oa IGP , akimaliza mwezi huu ofisini akatambike , hana uwezo
Nani alimfosi?Magufuli alifosiwa kuwa vile na ndivyo mama anavyofosiwa awe kama magufuli
Afadhali.Mpaka sasa tunajua walipo , usicheze na sisi mkuu , sisi ni nchi ndani ya nchi , hata mnaowatuma wamechoka , ikiwa mkataba wa bandari ulivunjishwa ndio tushindwe kuvujishiwa alipo Mwabukusi ?
Kama nchi tulichelewa kujua vijana wengi mling'olewa marinda kitamboWatakua wametekana wenyewe hao wanatafuta Kiki huwajui chadema nini.
Ila twaomba Allah awasaidie wasitolewe uhai wao! Huyu Mama ni Muislam mwenzetu lakini hajui sifa za islam.Mpaka sasa tunajua walipo , usicheze na sisi mkuu , sisi ni nchi ndani ya nchi , hata mnaowatuma wamechoka , ikiwa mkataba wa bandari ulivunjishwa ndio tushindwe kuvujishiwa alipo Mwabukusi ?
Hicho ni kikosi maalum kutoka makao makuu ya polisiView attachment 2715180
Kufuatia habari zilizoripotiwa katika mitandao ya kijamii kuhusu kushikiliwa kwa katibu wa CHADEMA kanda ya kati Emmanuel Masonga, Wakili Boniface Mwabukusi na na kada maarufu wa CHADEMA Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA) maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro na watu waliojitambulisha kuwa ni maafisa wa jeshi la polisi kwa maelekezo ya Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro, Kamanda wa jeshi la polisi mkoani humo Alex Mkama amesema, hana taarifa za kushikiliwa kwa katibu huyo na wenzake wawili.
Akiongea na Mwandishi wa Jambo TV kutoka mkoani Morogoro RPC Mkama ameeleza kuwa, wanaotoa taarifa hizo hawana uhakika nazo.
Katika mitandao ya kijamii mapema asubuhi ya leo zilisambaa kwa kasi taarifa za watatu hao kukamatwa na watu waliojitambulisha kuwa ni maafisa wa jeshi la polisi maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro hali iliyopelekea kuzua taharuki kwa wananchi wengi.
Pia soma: Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam
kwasababu hajaua ndugu yako utamkumbuka weweMtanikumbuka 😄😄🔥
Duniani kote Wauaji huwa na sura za Urembo!kwasababu hajaua ndugu yako utamkumbuka wewe
Punguza utoto dogo.Watakua wametekana wenyewe hao wanatafuta Kiki huwajui chadema nini.
Kama dhalimu alikuwa ni muoga wa kutupa. Kilichokuwa kinamfanya ufanye ule ukatili ni roho mbaya na wivu. Lakini alikuwa ni bonge la muoga.Katili yeyote Kwa ndani kabisa huwa ni mtu muoga!!
Shujaa Magufuli alikuwa na hofu ya Mungu wa mbinguni!Kama dhalimu alikuwa ni muoga wa kutupa. Kilichokuwa kinamfanya ufanye ule ukatili ni roho mbaya na wivu. Lakini alikuwa ni bonge la muoga.
Kuna wajinga mnalazimisha laanaShujaa Magufuli alikuwa na hofu ya Mungu wa mbinguni!
Huo ndio wimbo wao baada ya ukamataji, hata tukio la kuuawa Mwngosi mkuu polisi alisema hivyohivyo.View attachment 2715180
Kufuatia habari zilizoripotiwa katika mitandao ya kijamii kuhusu kushikiliwa kwa katibu wa CHADEMA kanda ya kati Emmanuel Masonga, Wakili Boniface Mwabukusi na na kada maarufu wa CHADEMA Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA) maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro na watu waliojitambulisha kuwa ni maafisa wa jeshi la polisi kwa maelekezo ya Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro, Kamanda wa jeshi la polisi mkoani humo Alex Mkama amesema, hana taarifa za kushikiliwa kwa katibu huyo na wenzake wawili.
Akiongea na Mwandishi wa Jambo TV kutoka mkoani Morogoro RPC Mkama ameeleza kuwa, wanaotoa taarifa hizo hawana uhakika nazo.
Katika mitandao ya kijamii mapema asubuhi ya leo zilisambaa kwa kasi taarifa za watatu hao kukamatwa na watu waliojitambulisha kuwa ni maafisa wa jeshi la polisi maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro hali iliyopelekea kuzua taharuki kwa wananchi wengi.
Pia soma: Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam
Wewe tayari unayo!Kuna wajinga mnalazimisha laana
Si wewe na mama yako.Wewe tayari unayo!
Binti una hasira za haraka eee🤣🔥Si wewe na mama yako.