RPC Morogoro: Sina taarifa ya kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude na Masonga

RPC Morogoro: Sina taarifa ya kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude na Masonga

Mpaka sasa tunajua walipo , usicheze na sisi mkuu , sisi ni nchi ndani ya nchi , hata mnaowatuma wamechoka , ikiwa mkataba wa bandari ulivunjishwa ndio tushindwe kuvujishiwa alipo Mwabukusi ?
Afadhali.
Kumbe wapo mikono salama!
 
Mpaka sasa tunajua walipo , usicheze na sisi mkuu , sisi ni nchi ndani ya nchi , hata mnaowatuma wamechoka , ikiwa mkataba wa bandari ulivunjishwa ndio tushindwe kuvujishiwa alipo Mwabukusi ?
Ila twaomba Allah awasaidie wasitolewe uhai wao! Huyu Mama ni Muislam mwenzetu lakini hajui sifa za islam.
Kwa haya wafanyayo ipo siku M/Mungu atawaumbua tu!
 
View attachment 2715180

Kufuatia habari zilizoripotiwa katika mitandao ya kijamii kuhusu kushikiliwa kwa katibu wa CHADEMA kanda ya kati Emmanuel Masonga, Wakili Boniface Mwabukusi na na kada maarufu wa CHADEMA Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA) maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro na watu waliojitambulisha kuwa ni maafisa wa jeshi la polisi kwa maelekezo ya Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro, Kamanda wa jeshi la polisi mkoani humo Alex Mkama amesema, hana taarifa za kushikiliwa kwa katibu huyo na wenzake wawili.

Akiongea na Mwandishi wa Jambo TV kutoka mkoani Morogoro RPC Mkama ameeleza kuwa, wanaotoa taarifa hizo hawana uhakika nazo.

Katika mitandao ya kijamii mapema asubuhi ya leo zilisambaa kwa kasi taarifa za watatu hao kukamatwa na watu waliojitambulisha kuwa ni maafisa wa jeshi la polisi maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro hali iliyopelekea kuzua taharuki kwa wananchi wengi.

Pia soma: Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam
Hicho ni kikosi maalum kutoka makao makuu ya polisi
 
Kama dhalimu alikuwa ni muoga wa kutupa. Kilichokuwa kinamfanya ufanye ule ukatili ni roho mbaya na wivu. Lakini alikuwa ni bonge la muoga.
Shujaa Magufuli alikuwa na hofu ya Mungu wa mbinguni!
 
View attachment 2715180

Kufuatia habari zilizoripotiwa katika mitandao ya kijamii kuhusu kushikiliwa kwa katibu wa CHADEMA kanda ya kati Emmanuel Masonga, Wakili Boniface Mwabukusi na na kada maarufu wa CHADEMA Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA) maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro na watu waliojitambulisha kuwa ni maafisa wa jeshi la polisi kwa maelekezo ya Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro, Kamanda wa jeshi la polisi mkoani humo Alex Mkama amesema, hana taarifa za kushikiliwa kwa katibu huyo na wenzake wawili.

Akiongea na Mwandishi wa Jambo TV kutoka mkoani Morogoro RPC Mkama ameeleza kuwa, wanaotoa taarifa hizo hawana uhakika nazo.

Katika mitandao ya kijamii mapema asubuhi ya leo zilisambaa kwa kasi taarifa za watatu hao kukamatwa na watu waliojitambulisha kuwa ni maafisa wa jeshi la polisi maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro hali iliyopelekea kuzua taharuki kwa wananchi wengi.

Pia soma: Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam
Huo ndio wimbo wao baada ya ukamataji, hata tukio la kuuawa Mwngosi mkuu polisi alisema hivyohivyo.
 
Kama hana taarifa wapo wanachunguza ni nini Kimejiri ?, Au nini Kazi ya Polisi ?!!!
 
Back
Top Bottom