RPC Muliro kuna nini kwa sasa Mbweni mbona kuna Vibaka na Ujambazi mwingi?

RPC Muliro kuna nini kwa sasa Mbweni mbona kuna Vibaka na Ujambazi mwingi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kama kuna mahala kwa sasa ambako Wakazi wake wanalia kwa Kuibiwa na Vibaka mchana na kuingiliwa na Majambazi nyakati za Usiku ni wale Waishio maeneo ya Mbweni.

Kuna maeneo kama Kawe, Mwenge, Kunduchi, Mgulani, Ukonga, Gongo la Mboto, Makumbusho, Mbweni, Oysterbay Msaada Kontena, Kurasini na Lugalo GENTAMYCINE nikiskia kuwa kuna Vibaka na Majambazi napatwa na Mshangao na kujiuliza Maswali mengi yasiyo na majibu ya haraka.

Poleni Wakazi wa Mbweni hasa mliolizwa katika Majumba yenu Weekend hii na kuna Ndugu Wawili Dada Mtu Kaibiwa Nyumba nzima Mchana na Kaka yake aishiye Mbweni huko huko Yeye Kalizwa ( Kaibiwa ) Usiku pamoja na Gari lake.

RPC Muliro anza Kupamulika Mbweni.
 
Kama kuna mahala kwa sasa ambako Wakazi wake wanalia kwa Kuibiwa na Vibaka mchana na kuingiliwa na Majambazi nyakati za Usiku ni wale Waishio maeneo ya Mbweni.

Kuna maeneo kama Kawe, Mwenge, Kunduchi, Mgulani, Ukonga, Gongo la Mboto, Makumbusho, Mbweni, Oysterbay Msaada Kontena, Kurasini na Lugalo GENTAMYCINE nikiskia kuwa kuna Vibaka na Majambazi napatwa na Mshangao na kujiuliza Maswali mengi yasiyo na majibu ya haraka.

Poleni Wakazi wa Mbweni hasa mliolizwa katika Majumba yenu Weekend hii na kuna Ndugu Wawili Dada Mtu Kaibiwa Nyumba nzima Mchana na Kaka yake aishiye Mbweni huko huko Yeye Kalizwa ( Kaibiwa ) Usiku pamoja na Gari lake.

RPC Muliro anza Kupamulika Mbweni.

Sasa Muliro, yaani majambazi na vibaya siku hizi unashindwa kuwalaza mahali salama peponi. Nyuki hakumbatiwi.
 
Kama kuna mahala kwa sasa ambako Wakazi wake wanalia kwa Kuibiwa na Vibaka mchana na kuingiliwa na Majambazi nyakati za Usiku ni wale Waishio maeneo ya Mbweni.

Kuna maeneo kama Kawe, Mwenge, Kunduchi, Mgulani, Ukonga, Gongo la Mboto, Makumbusho, Mbweni, Oysterbay Msaada Kontena, Kurasini na Lugalo GENTAMYCINE nikiskia kuwa kuna Vibaka na Majambazi napatwa na Mshangao na kujiuliza Maswali mengi yasiyo na majibu ya haraka.

Poleni Wakazi wa Mbweni hasa mliolizwa katika Majumba yenu Weekend hii na kuna Ndugu Wawili Dada Mtu Kaibiwa Nyumba nzima Mchana na Kaka yake aishiye Mbweni huko huko Yeye Kalizwa ( Kaibiwa ) Usiku pamoja na Gari lake.

RPC Muliro anza Kupamulika Mbweni.
Mitaa yenu hiyo si kila mtu ana bastola na fence ya Umeme?

Wanaume wa Dar mna shida sana.
 
Sasa Muliro, yaani majambazi na vibaya siku hizi unashindwa kuwalaza mahali salama peponi
Nimeshachoka huko Kuwalaza mahala pema peponi kwa Mbinu ya Kuwachekecha, Kuwanywesha Kikombe cha Cement na Kuwamwagia Mafuta ya Taa Masikioni mwao.
 
Mitaa yenu hiyo si kila mtu ana bastola na fence ya Umeme?

Wanaume wa Dar mna shida sana.
Mkuu Mimi naishi Tandale hapa Uswahilini na huku wala hatuibiani kabisa ila kuna Paka wa ajabu na kulala Kitandani Usiku na Asubuhi kujikuta Kichochoroni ukiwa na Shuka huku Nywele zako baadhi zimenyolewa Kisogoni ni Jambo la Kawaida na linalotusumbua.
 
Back
Top Bottom