RPC Muliro kuna nini kwa sasa Mbweni mbona kuna Vibaka na Ujambazi mwingi?

RPC Muliro kuna nini kwa sasa Mbweni mbona kuna Vibaka na Ujambazi mwingi?

Mkuu Mimi naishi Tandale hapa Uswahilini na huku wala hatuibiani kabisa ila kuna Paka wa ajabu na kulala Kitandani Usiku na Asubuhi kujikuta Kichochoroni ukiwa na Shuka huku Nywele zako baadhi zimenyolewa Kisogoni ni Jambo la Kawaida na linalotusumbua.
Huwa hampapaswi pia?
 
Kama kuna mahala kwa sasa ambako Wakazi wake wanalia kwa Kuibiwa na Vibaka mchana na kuingiliwa na Majambazi nyakati za Usiku ni wale Waishio maeneo ya Mbweni.

Kuna maeneo kama Kawe, Mwenge, Kunduchi, Mgulani, Ukonga, Gongo la Mboto, Makumbusho, Mbweni, Oysterbay Msaada Kontena, Kurasini na Lugalo GENTAMYCINE nikiskia kuwa kuna Vibaka na Majambazi napatwa na Mshangao na kujiuliza Maswali mengi yasiyo na majibu ya haraka.

Poleni Wakazi wa Mbweni hasa mliolizwa katika Majumba yenu Weekend hii na kuna Ndugu Wawili Dada Mtu Kaibiwa Nyumba nzima Mchana na Kaka yake aishiye Mbweni huko huko Yeye Kalizwa ( Kaibiwa ) Usiku pamoja na Gari lake.

RPC Muliro anza Kupamulika Mbweni.
RPC Moto usalama muhimu sana
 
Kuibiwa Mchana na Vibaka au Usiku na Majambazi kwa sasa Mbweni ni kawauda mno na Wakazi wa Kishua wa Eneo hilo wanalia sana Mkuu.
Kuna haja ya kuimarisha usalama katika maeneo hayo. Jeshi la polisi liangalie suala hili, wanaoumia ni wananchi.
 
Kama kuna mahala kwa sasa ambako Wakazi wake wanalia kwa Kuibiwa na Vibaka mchana na kuingiliwa na Majambazi nyakati za Usiku ni wale Waishio maeneo ya Mbweni.

Kuna maeneo kama Kawe, Mwenge, Kunduchi, Mgulani, Ukonga, Gongo la Mboto, Makumbusho, Mbweni, Oysterbay Msaada Kontena, Kurasini na Lugalo GENTAMYCINE nikiskia kuwa kuna Vibaka na Majambazi napatwa na Mshangao na kujiuliza Maswali mengi yasiyo na majibu ya haraka.

Poleni Wakazi wa Mbweni hasa mliolizwa katika Majumba yenu Weekend hii na kuna Ndugu Wawili Dada Mtu Kaibiwa Nyumba nzima Mchana na Kaka yake aishiye Mbweni huko huko Yeye Kalizwa ( Kaibiwa ) Usiku pamoja na Gari lake.

RPC Muliro anza Kupamulika Mbweni.
How about bukoba jamn
 
Kuna haja ya kuimarisha usalama katika maeneo hayo. Jeshi la polisi liangalie suala hili, wanaoumia ni wananchi.
Asubuhi hii ninapokuandikia hii Post kuna Mtu Mwingine huko huko Mbweni Yeye na Wanafamilia wake wameamka na kukuta Wamekombwa ( Wameibiwa ) kila Kitu na Mlinzi wao nae alilazimishwa Kusinzia na hao Wezi kwa Kupuliziwa Dawa maarufu iitwayo 4-4-2.

Kazi ipo...!!
 
Kama kuna mahala kwa sasa ambako Wakazi wake wanalia kwa Kuibiwa na Vibaka mchana na kuingiliwa na Majambazi nyakati za Usiku ni wale Waishio maeneo ya Mbweni.

Kuna maeneo kama Kawe, Mwenge, Kunduchi, Mgulani, Ukonga, Gongo la Mboto, Makumbusho, Mbweni, Oysterbay Msaada Kontena, Kurasini na Lugalo GENTAMYCINE nikiskia kuwa kuna Vibaka na Majambazi napatwa na Mshangao na kujiuliza Maswali mengi yasiyo na majibu ya haraka.

Poleni Wakazi wa Mbweni hasa mliolizwa katika Majumba yenu Weekend hii na kuna Ndugu Wawili Dada Mtu Kaibiwa Nyumba nzima Mchana na Kaka yake aishiye Mbweni huko huko Yeye Kalizwa ( Kaibiwa ) Usiku pamoja na Gari lake.

RPC Muliro anza Kupamulika Mbweni.
Jamani huko si ndiyo tishi mitaa yao ya jikoni hupikwa? Au ndiyo hujigeuza wao wanafanya mazoezi?
 
Asubuhi hii ninapokuandikia hii Post kuna Mtu Mwingine huko huko Mbweni Yeye na Wanafamilia wake wameamka na kukuta Wamekombwa ( Wameibiwa ) kila Kitu na Mlinzi wao nae alilazimishwa Kusinzia na hao Wezi kwa Kupuliziwa Dawa maarufu iitwayo 4-4-2.

Kazi ipo...!!
Duuhh,, ni hatar hiyo iyo dawa ipoje ?
 
Magufuli alijaribu mbinu za kagame kidogo kwenye ulinzi wa ndani wezi wote wakaokoka, Sirro akaenda kupewa mbinu na IGP wa Rwanda nchi yetu ikatulia sasa wambura na vijana wake wa intelligence na ant roberry wanashindwa nini kuendeleza moto uleule hadi kuacha watu watambe kijinga namna hiyo?
 
Vibaka tunawalea wenyewe.

Wakikamatwa hatutoi ushahidi
 
Back
Top Bottom