Siyo Kama alimuingilia kwa nguvu regardless of what kind of orifice was used?DNA kukutwa kwenye nguo au gari siyo shida sababu wawili hao ni wapenzi. Pia kukuta kwamba ni kweli bint aliingiliwa kinyume nayo siyo shida, tatizo ni je, aliingiliwa na nani? Sababu vipimo havikufanywa wakati ule, bali kama vimefanyika basi ni jana, yaani nearly 2 weeks later.
Hivyo ushahidi wa uwepo wa DNA za bint kwenye nguo au gari siyo issue sababu Kinachotafitwa siyo uthibisho kama wawili hawa wana mahusiano au wamewahi kiwa pamoja eneo lile, bali ni kinachotafutwa ni kama Nawanda alimuingilia kinyume na maumbile.
Uwezekano wa Nawanda kushinda upo mkubwa tu.DNA kukutwa kwenye nguo au gari siyo shida sababu wawili hao ni wapenzi. Pia kukuta kwamba ni kweli bint aliingiliwa kinyume nayo siyo shida, tatizo ni je, aliingiliwa na nani? Sababu vipimo havikufanywa wakati ule, bali kama vimefanyika basi ni jana, yaani nearly 2 weeks later.
Hivyo ushahidi wa uwepo wa DNA za bint kwenye nguo au gari siyo issue sababu Kinachotafitwa siyo uthibisho kama wawili hawa wana mahusiano au wamewahi kiwa pamoja eneo lile, bali ni kinachotafutwa ni kama Nawanda alimuingilia kinyume na maumbile.
Mimi nilishaona kabla kuwa tukio hilo si tu atashinda bali limetengenezwa.Uwezekano wa Nawanda kushinda upo mkubwa tu.
Wenzake kina nani?Yahya ana wakati mgumu wenzake wamedhamiria kumzamisha kabisa
Mimi nasemea tuhumu zilizopo polisi sasa ukweli wote utajulikana mahakamani ambapo upande wa mashitaka utatakiwa kuthibisha pasipo shaka kuwa makosa hayo yalitendeka kweli. Hakuna haja ya kutoleana povu kwa sasa.Unambaka mtu mzima aliyekuja kugongwa kwa kutoka kilomita 50 chuoni hadi kwenye gari lako na anajua alichokuwa anakuja kufanywa, acheni hizo ,na alishagongwa januari huko na kaja tena miezi sita baadae huo ubakaji upo wapi?
Kalawitiwa na watu wengine siyo lazima rc kwani anatembea na rc tu , toeni hisia kwenye mambo ya kuthibitisha, ndio maana zombe na mama msuya walitoka kiulaini haya mambo hayataki hisia, binti atulie asome aache kufanya biashara ya mwili wake
Hao wanaomkomalia.Wenzake kina nani?
yesTukiwachukua madem ulio wagonga mwaka jana halafu tukawapima, tutakuta ushahidi mwilini mwao kuwa wewe ndiye uliwagonga?
Akiharibu itakula kwake kesi itamgeukia kwa kutoa ushahidi wa Uongo maana ni yeye ndiyo alileta taarifa hakutuma mwakilishi kupeleka taarifa .Yupo sahihi ila kwenye kosa la kimwili kama hilo ushahidi wa mtendewa ni muhimu sana ,kama ameonyesha dalili za kutotaka kuendelea kuna kila dalili ataharibu kesi kwa makusudi technically kwenye cross examination
Sheria ya kuharibu kesi haipo hivyo kama unavyofikiria, unapofanyiwa cross examination maelezo yakiwa na utofauti kidogo biashara imeisha na hakuna wa kukushitaki maana kukumbuka ni jambo lingine na kutoa ushahidi wa uongo ni jambo lingineAkiharibu itakula kwake kesi itamgeukia kwa kutoa ushahidi wa Uongo maana ni yeye ndiyo alileta taarifa hakutuma mwakilishi kupeleka taarifa .
Kuhusu Barua inayodaiwa kuandikwa na bint aliyelawitiwa RPC Mutafungwa amesema barua hiyo haijawafikia na Kwamba mtu Binafsi hawezi kufuta Kesi ya jinai kwa Sababu mshtaki ni Jamhuri
Jumaa Mubarak 😀
DPP anaondoa kesi mahakamaniLet's say shahidi akisema aliingiliwa na mtu mwingine sio huyo RC itakuwaje
Na vijana huko UVCCM wanacharazwa kwelikweli.Nasikia mijitu mingi ya Chama ChaMambusi iko hivi kama bw. Yahya!
mkuu kumbuka yule ni Alhaji na ni Dokta pia. mpe heshima yakeYahya ana wakati mgumu wenzake wamedhamiria kumzamisha kabisa
Nasikia mijitu mingi ya Chama ChaMambusi iko hivi kama bw. Yahya!
Aliyekwambia alhadji hali USHUZI ni nani?hakumfanya? Alhaj mzima anafanya vitu vya ajabu? Sheria za kiislam zipo wazi , hazichagui kiongozi, tajiri, maskini au yoyote yule. Adhabu yake imetajwa