Echolima
JF-Expert Member
- Oct 28, 2007
- 3,824
- 2,079
Utasubiri sanaaaaa!!!!!Wewe mpuuzi kwelikweli... Watakavyo mu approach raia wa kawaida na askari ni tofauti... Ila wote panga lazima lipite, hata kama ni kwa njia tofautitofauti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasubiri sanaaaaa!!!!!Wewe mpuuzi kwelikweli... Watakavyo mu approach raia wa kawaida na askari ni tofauti... Ila wote panga lazima lipite, hata kama ni kwa njia tofautitofauti.
Jidanganye. Kama wewe ndio mhusika jipe moyo.Endelea kuishi kwa matumaini hiyo ilishatoka hairudi nyuma mkifanikiwa mtani-Tag!!!!
Polisi wa leo si wa Jana utasubiri mwisho utalala mlango wazi!!!Ukisubiri labda ujio wa mkuu wa kaya lini sasa???Jidanganye. Kama wewe ndio mhusika jipe moyo.
Nani akutag? Au umetumwa? Ndio maana umeitwa mpuuzi. Au unadhani hii ni serikali ya baba yako?Endelea kuishi kwa matumaini hiyo ilishatoka hairudi nyuma mkifanikiwa mtani-Tag!!!!
Endeleeni kuishi kwa matumaini!!!!Nani akutag? Au umetumwa? Ndio maana umeitwa mpuuzi. Au unadhani hii ni serikali ya baba yako?
Polisi wa leo si wa Jana utasubiri mwisho utalala mlango wazi!!!Ukisubiri labda ujio wa mkuu wa kaya lini sasa???
We unajuaje kama mkuu wa kaya haijamfikia? Au unadhani hii ni awamu ya enzi ulizozoea kudhulumu haki watu?Polisi wa leo si wa Jana utasubiri mwisho utalala mlango wazi!!!Ukisubiri labda ujio wa mkuu wa kaya lini sasa???
Endelea kuota ndoto za Mchana!!!!!!!We unajuaje kama mkuu wa kaya haijamfikia? Au unadhani hii ni awamu ya enzi ulizozoea kudhulumu haki watu?
Asante.Endelea kuota ndoto za Mchana!!!!!!!
Acha kubwabwaja ovyoovyo wewe subiri matokeo!!!Asante.
Matokeo yapi?Acha kubwabwaja ovyoovyo wewe subiri matokeo!!!
Nimekwambia acha kubwabwaja!!!!Matokeo yapi?
Tumia lugha yenye staha.Nimekwambia acha kubwabwaja!!!!
Nyamaza subiri matokea acha kupiga kelele ambazo hazisaidii!!wewe umetoa ombi kwa mhusika subiri alifanyie kazi sasa!Tumia lugha yenye staha.
Mkuu tulishajadili humu ndani JPM anaangushwa na wateule wake. Nafikiri hata wewe unalifahamu hili.Inawezekana vipi tukio kama hili limetokea jirani namna hii na ofisi ya mkuu wa wilaya ya ilemela na bado watu wanalalamika?
Nakuwa kama Thomaso mpaka nione kwa macho yangu.Nyamaza subiri matokea acha kupiga kelele ambazo hazisaidii!!wewe umetoa ombi kwa mhusika subiri alifanyie kazi sasa!
Acha utoto mkuu, JPM anaingia vipi hapa?Mkuu tulishajadili humu ndani JPM anaangushwa na wateule wake. Nafikiri hata wewe unalifahamu hili.
Mkuu wa wilaya si anamuwakilisha JPM wilaya ya ilemela. Na mke wa marehemu amepeleka barua ya malalamiko ofisini kwake. Wewe mwenyewe unafahamu kata ya kahama ni kama km 3 toka ofisini kwake. Sasa hapo nimefanya utoto gani?Acha utoto mkuu, JPM anaingia vipi hapa?
Mkuu wa wilaya kaapishwa kusimamia katiba, anajiwakilisha mwenyewe pia. sio kila kitu lazima kumuhusisha JPM.Mkuu wa wilaya si anamuwakilisha JPM wilaya ya ilemela. Na mke wa marehemu amepeleka barua ya malalamiko ofisini kwake. Wewe mwenyewe unafahamu kata ya kahama ni kama km 3 toka ofisini kwake. Sasa hapo nimefanya utoto gani?