kamituga
JF-Expert Member
- May 31, 2019
- 1,195
- 1,933
Kesi nyingine muwe mnazipeleka kigoma kule kuna mahakama zinatenda haki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maono yako binafsi.Mkuu wa wilaya kaapishwa kusimamia katiba, anajiwakilisha mwenyewe pia. sio kila kitu lazima kumuhusisha JPM.
Wewe zwazwa kweli nimeshakuambia nyamaza linafanyiwa kazi wewe subiri Matokeo yakishatoka utani-Tag!!!!Mkuu wa wilaya si anamuwakilisha JPM wilaya ya ilemela. Na mke wa marehemu amepeleka barua ya malalamiko ofisini kwake. Wewe mwenyewe unafahamu kata ya kahama ni kama km 3 toka ofisini kwake. Sasa hapo nimefanya utoto gani?
Kesi nyingine muwe mnazipeleka kigoma kule kuna mahakama zinatenda haki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaaa. Ngoja nicheke tu. Nakaa kimyaWewe zwazwa kweli nimeshakuambia nyamaza linafanyiwa kazi wewe subiri Matokeo yakishatoka utani-Tag!!!!
Kumbe kupeleka malalamiko pale magogoni very simple. JPM is the best.Mngekuwa mnamlalamiki wa chama cha Upinzani sawa leo hii haki ingetendeka lakini kwa hili Endeleeni kufatilia likipata ufumbuzi mtani-Tag.
.Moto unawaka!Wewe zwazwa kweli nimeshakuambia nyamaza linafanyiwa kazi wewe subiri Matokeo yakishatoka utani-Tag!!!
Simuoni wa kuwasha moto!!!!.Moto unawaka!
Tulia uone. Hii awamu ya tano.Simuoni wa kuwasha moto!!!!
Looo Jamaa yangu mbona umepotea njia!!!Hivi ni nani anakuaminisha uongo wewe??Tulia uone. Hii awamu ya tano.
UnanichekeshaaaLooo Jamaa yangu mbona umepotea njia!!!Hivi ni nani anakuaminisha uongo wewe??
Wewe ndiye unachekesha watu kwa kuaminishwa uongo mweupe kichaa pekee ndiyo atauamini!!!Unanichekeshaaa
Nipe siku mbili nitakupa full mkanda.Wewe ndiye unachekesha watu kwa kuaminishwa uongo mweupe kichaa pekee ndiyo atauamini!!!
Acha kujitapa usije potea kwa aibu!!!Jiulize miaka yote hiyo kwa nini hakuna linaloendelea!!! Harafu unajivunia awamu ya Tano!!!!A wamu ya Tano ina wenyewe ambao siyo wewe Kapuku!!!Nipe siku mbili nitakupa full mkanda.
Acha kujitapa usije potea kwa aibu!!!Jiulize miaka yote hiyo kwa nini hakuna linaloendelea!!! Harafu unajivunia awamu ya Tano!!!!A wamu ya Tano ina wenyewe ambao siyo wewe Kapuku!!!
Haya yangu macho baada ya siku tatu nijulishe ila usiishie mitini kwa aibu wewe njoo tu unijulishe ili nami nikufahamishe kulikoni!!!!Ahaaa. Hayo yametoka wapi? Ishu haina miaka kuna watu walikuwa wanalindana makapuku tumekomaa mpaka wanashangaa imekuwaje
Huna lolote. Ungejua mtiti uliowaka leo usingejifaraghua kama muimba taarabu.Haya yangu macho baada ya siku tatu nijulishe ila usiishie mitini kwa aibu wewe njoo tu unijulishe ili nami nikufahamishe kulikoni!!!!
Wewe jifanye kuja moto Utarudi Barid!!!!i endelea kujifariji!!!Huna lolote. Ungejua mtiti uliowaka leo usingejifaraghua kama muimba taarabu.
Nenda salon ukaimbe taarabu. Bwege unayetaka kujifanya unajua.Wewe jifanye kuja moto Utarudi Barid!!!!i endelea kujifariji!!!
Endelea kubwabwaja ovyo utaliwa!!Nenda salon ukaimbe taarabu. Bwege unayetaka kujifanya unajua.