RPC Mwanza naomba uingilie hili suala ili haki ipatikane

RPC Mwanza naomba uingilie hili suala ili haki ipatikane

Mkuu wa wilaya si anamuwakilisha JPM wilaya ya ilemela. Na mke wa marehemu amepeleka barua ya malalamiko ofisini kwake. Wewe mwenyewe unafahamu kata ya kahama ni kama km 3 toka ofisini kwake. Sasa hapo nimefanya utoto gani?
Wewe zwazwa kweli nimeshakuambia nyamaza linafanyiwa kazi wewe subiri Matokeo yakishatoka utani-Tag!!!!
 
Mngekuwa mnamlalamiki wa chama cha Upinzani sawa leo hii haki ingetendeka lakini kwa hili Endeleeni kufatilia likipata ufumbuzi mtani-Tag.
Kumbe kupeleka malalamiko pale magogoni very simple. JPM is the best.
 
Sasa huyo RPC mwenyewe anaruhusu vijana wake wawaue watuhumiwa halafu atawazuiaje mgambo kufanya sawa nayeye
 
Nipe siku mbili nitakupa full mkanda.
Acha kujitapa usije potea kwa aibu!!!Jiulize miaka yote hiyo kwa nini hakuna linaloendelea!!! Harafu unajivunia awamu ya Tano!!!!A wamu ya Tano ina wenyewe ambao siyo wewe Kapuku!!!
 
Acha kujitapa usije potea kwa aibu!!!Jiulize miaka yote hiyo kwa nini hakuna linaloendelea!!! Harafu unajivunia awamu ya Tano!!!!A wamu ya Tano ina wenyewe ambao siyo wewe Kapuku!!!

Ahaaa. Hayo yametoka wapi? Ishu haina miaka kuna watu walikuwa wanalindana makapuku tumekomaa mpaka wanashangaa imekuwaje
 
Ahaaa. Hayo yametoka wapi? Ishu haina miaka kuna watu walikuwa wanalindana makapuku tumekomaa mpaka wanashangaa imekuwaje
Haya yangu macho baada ya siku tatu nijulishe ila usiishie mitini kwa aibu wewe njoo tu unijulishe ili nami nikufahamishe kulikoni!!!!
 
Haya yangu macho baada ya siku tatu nijulishe ila usiishie mitini kwa aibu wewe njoo tu unijulishe ili nami nikufahamishe kulikoni!!!!
Huna lolote. Ungejua mtiti uliowaka leo usingejifaraghua kama muimba taarabu.
 
Back
Top Bottom