RPC Ruvuma asema Mtuhumiwa aliyejeruhiwa kwa risasi ya mguu wakati kitoroka amefariki Dunia

RPC Ruvuma asema Mtuhumiwa aliyejeruhiwa kwa risasi ya mguu wakati kitoroka amefariki Dunia

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Kamanda wa Polisi Mkoa, SACP Marco Chilya amesema Francis Ngonyani Severianus ambaye ni mtuhumiwa uhalifu wa uvunjaji wa maduka maeneo ya Ruhuwiko Stendi amefariki Dunia baada ya kupoteza damu nyingi kutokana na jeraha lililotokana na risasi aliyopigwa na Askari Polisi wakati anatoroka akiwa chini ya ulinzi.

Taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, SACP Marco Chilya.
WhatsApp Image 2024-06-04 at 18.01.45_667aae7a.jpg

WhatsApp Image 2024-06-04 at 18.01.42_dcf85daa.jpg



WhatsApp Image 2024-06-04 at 18.01.43_9f60e70d.jpg

WhatsApp Image 2024-06-04 at 18.01.43_495b5e44.jpg

WhatsApp Image 2024-06-04 at 18.01.43_f0794556.jpg
 
Kamanda wa Polisi Mkoa, SACP Marco Chilya amesema Francis Ngonyani Severianus ambaye ni mtuhumiwa uhalifu wa uvunjaji wa maduka maeneo ya Ruhuwiko Stendi amefariki Dunia baada ya kupoteza damu nyingi kutokana na jeraha lililotokana na risasi aliyopigwa na Askari Polisi wakati anatoroka akiwa chini ya ulinzi.
View attachment 3008435
Taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, SACP Marco Chilya.
View attachment 3008438

View attachment 3008428


View attachment 3008429
View attachment 3008431
View attachment 3008432
Ni mtu Mwendawazimu tu ndiye ambaye anaweza kuzielewa na kuziamini taarifa zitolewazo na Jeshi la Polisi.
 
Polisi kwa kutengeneza tu scripts tamu za kuhusiana na matukio ya uhalifu; aisee hawajambo.
 
Mahakama haziaminiki tena,bora wamalizane nje ya Mahakama!!
Kwa hiyo Jeshi la Polisi ndio linaaminika????
Kwa nini njia kama hiyo isitumike pia katika kuwaadhibu Mafisadi, Wala rushwa, Polisi Wahalifu, Wahujumu wa uchumi/rasilimali za nchi, tukianzia na wale ambao tayari wametajwa kwenye Ripoti mbali mbali za CAG?????????
 
Safi sana, next time hakuna kupiga mguu ni shaba ya kichwa tu yanini kusumbuwa madaktari kumtibu? Wezi wanatia hasara mon. Kama hujawahi kuibiwa ndio utaleta habari za kumpeleka mahakamani.
 
Safi sana, next time hakuna kupiga mguu ni shaba ya kichwa tu yanini kusumbuwa madaktari kumtibu? Wezi wanatia hasara mon. Kama hujawahi kuibiwa ndio utaleta habari za kumpeleka mahakamani.
Nani kathibitisha kuwa huyo aliyeuawa kweli ni mwizi???

No one should be condemned unheard.
 
Back
Top Bottom