RPC Ruvuma asema Mtuhumiwa aliyejeruhiwa kwa risasi ya mguu wakati kitoroka amefariki Dunia

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Kamanda wa Polisi Mkoa, SACP Marco Chilya amesema Francis Ngonyani Severianus ambaye ni mtuhumiwa uhalifu wa uvunjaji wa maduka maeneo ya Ruhuwiko Stendi amefariki Dunia baada ya kupoteza damu nyingi kutokana na jeraha lililotokana na risasi aliyopigwa na Askari Polisi wakati anatoroka akiwa chini ya ulinzi.
Your browser is not able to display this video.

Taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, SACP Marco Chilya.






 
Ni mtu Mwendawazimu tu ndiye ambaye anaweza kuzielewa na kuziamini taarifa zitolewazo na Jeshi la Polisi.
 
Polisi kwa kutengeneza tu scripts tamu za kuhusiana na matukio ya uhalifu; aisee hawajambo.
 
Mahakama haziaminiki tena,bora wamalizane nje ya Mahakama!!
Kwa hiyo Jeshi la Polisi ndio linaaminika????
Kwa nini njia kama hiyo isitumike pia katika kuwaadhibu Mafisadi, Wala rushwa, Polisi Wahalifu, Wahujumu wa uchumi/rasilimali za nchi, tukianzia na wale ambao tayari wametajwa kwenye Ripoti mbali mbali za CAG?????????
 
Safi sana, next time hakuna kupiga mguu ni shaba ya kichwa tu yanini kusumbuwa madaktari kumtibu? Wezi wanatia hasara mon. Kama hujawahi kuibiwa ndio utaleta habari za kumpeleka mahakamani.
 
Safi sana, next time hakuna kupiga mguu ni shaba ya kichwa tu yanini kusumbuwa madaktari kumtibu? Wezi wanatia hasara mon. Kama hujawahi kuibiwa ndio utaleta habari za kumpeleka mahakamani.
Nani kathibitisha kuwa huyo aliyeuawa kweli ni mwizi???

No one should be condemned unheard.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…