Tetesi: RPC wa Mara adaiwa kuandaa Maandamano ya kumpongeza

Tetesi: RPC wa Mara adaiwa kuandaa Maandamano ya kumpongeza

Taarifa mpya kutoka Mkoani Mara zinadokeza kwamba , baada ya sarakasi za kuuawa kwa walioitwa majambazi huko Serengeti , ambapo wadau mbali mbali wamejitokeza kuhoji uhalali wa mauaji hayo ya kishamba , eti leo wameonekana madereva wa bodaboda wakimpongeza RPC Kwa kuua Majambazi , inakadiliwa kuwa Bodaboda zaidi ya 100 walishiriki maandamano hayo ya pongezi ! (Nani atathibitisha kama waandamanaji hao ni madereva wa bodaboda ?) , acha iwe siri.

Bali Mashaka juu ya Jambo hili ni BAADA YA WAONA MBALI KUTAMBUA KWAMBA KUMBE MUANDAAJI WA MAANDAMANO HAYO NI RPC MWENYEWE ! yaani kaandaa kupongezwa ili asitumbuliwe ! haya ndio maajabu ya Tanzania , kama waliouawa ni majambazi hofu ya kutengeneza maandamano ya mchongo inatoka wapi ?

Swali : Hivi ni wapi mlikowahi kukuta bodaboda wanaandamana ili kupongeza mauaji ya majambazi ? Kwanini leo iwe Mkoa wa Mara ? Na je kama hilo jambo limegusa Mkoa wote kwanini yasingeitishwa maandamano ya wananchi wote wa Mara badala ya kikundi kinachoitwa Madereva wa bodaboda ?

KILA UBAYA UTALIPWA
Kwani Kuna KATIBA mpya imeandikwa au Sheria imetungwa inayoruhusu RPC kuelekeza vijana wake kuhukumu mtu KIFO bila Kumfikiaha Mahakamani akiwa amefungwa pingu akiwa mikononi mwa POLISI???

Mbona hili Ombwe la Uongozi linazidi kukua?!!!!!!!
 
Taarifa mpya kutoka Mkoani Mara zinadokeza kwamba , baada ya sarakasi za kuuawa kwa walioitwa majambazi huko Serengeti , ambapo wadau mbali mbali wamejitokeza kuhoji uhalali wa mauaji hayo ya kishamba , eti leo wameonekana madereva wa bodaboda wakimpongeza RPC Kwa kuua Majambazi , inakadiliwa kuwa Bodaboda zaidi ya 100 walishiriki maandamano hayo ya pongezi ! (Nani atathibitisha kama waandamanaji hao ni madereva wa bodaboda ?) , acha iwe siri.

Bali Mashaka juu ya Jambo hili ni BAADA YA WAONA MBALI KUTAMBUA KWAMBA KUMBE MUANDAAJI WA MAANDAMANO HAYO NI RPC MWENYEWE ! yaani kaandaa kupongezwa ili asitumbuliwe ! haya ndio maajabu ya Tanzania , kama waliouawa ni majambazi hofu ya kutengeneza maandamano ya mchongo inatoka wapi ?

Swali : Hivi ni wapi mlikowahi kukuta bodaboda wanaandamana ili kupongeza mauaji ya majambazi ? Kwanini leo iwe Mkoa wa Mara ? Na je kama hilo jambo limegusa Mkoa wote kwanini yasingeitishwa maandamano ya wananchi wote wa Mara badala ya kikundi kinachoitwa Madereva wa bodaboda ?

KILA UBAYA UTALIPWA
Huyu RPC ni mpumbavu wa kiwango cha lami wamewaua wengi tena hapo hapo Police Central na Polisi wauaji wakapona kwa namna wanavyojua wenyewe ila hilo la Serengeti hata angefanyaje yale ya Zombe yanakuja watanzania endeleeni kupaza sauti hadi kieleweke, rubbish
 
Maderva wa bodaboda wa Mara themanini walimsindikiza Madelu Mwigulu alipoenda kutetea tozo Sirari
Hawa ni mamluki tuu hawana itikadi wala muamana wao ni pesa tuu
 
Taarifa mpya kutoka Mkoani Mara zinadokeza kwamba , baada ya sarakasi za kuuawa kwa walioitwa majambazi huko Serengeti , ambapo wadau mbali mbali wamejitokeza kuhoji uhalali wa mauaji hayo ya kishamba , eti leo wameonekana madereva wa bodaboda wakimpongeza RPC Kwa kuua Majambazi , inakadiliwa kuwa Bodaboda zaidi ya 100 walishiriki maandamano hayo ya pongezi ! (Nani atathibitisha kama waandamanaji hao ni madereva wa bodaboda ?) , acha iwe siri.

Bali Mashaka juu ya Jambo hili ni BAADA YA WAONA MBALI KUTAMBUA KWAMBA KUMBE MUANDAAJI WA MAANDAMANO HAYO NI RPC MWENYEWE ! yaani kaandaa kupongezwa ili asitumbuliwe ! haya ndio maajabu ya Tanzania , kama waliouawa ni majambazi hofu ya kutengeneza maandamano ya mchongo inatoka wapi ?

Swali : Hivi ni wapi mlikowahi kukuta bodaboda wanaandamana ili kupongeza mauaji ya majambazi ? Kwanini leo iwe Mkoa wa Mara ? Na je kama hilo jambo limegusa Mkoa wote kwanini yasingeitishwa maandamano ya wananchi wote wa Mara badala ya kikundi kinachoitwa Madereva wa bodaboda ?

KILA UBAYA UTALIPWA
Huyu ni MUUAJI, aandikwe kwenye vitabu vya ICC
 
Bali Mashaka juu ya Jambo hili ni BAADA YA WAONA MBALI KUTAMBUA KWAMBA KUMBE MUANDAAJI WA MAANDAMANO HAYO NI RPC MWENYEWE ! yaani kaandaa kupongezwa ili asitumbuliwe ! haya ndio maajabu ya Tanzania , kama waliouawa ni majambazi hofu ya kutengeneza maandamano ya mchongo inatoka wapi ?
Ameua! ametesa! amemdhalilisha binti wa watu eti alale na baba yake!
Hii dhambi na laana hii itatembea ktk vizazi vyao milele na milele Amen!
 
Taarifa mpya kutoka Mkoani Mara zinadokeza kwamba , baada ya sarakasi za kuuawa kwa walioitwa majambazi huko Serengeti , ambapo wadau mbali mbali wamejitokeza kuhoji uhalali wa mauaji hayo ya kishamba , eti leo wameonekana madereva wa bodaboda wakimpongeza RPC Kwa kuua Majambazi , inakadiliwa kuwa Bodaboda zaidi ya 100 walishiriki maandamano hayo ya pongezi ! (Nani atathibitisha kama waandamanaji hao ni madereva wa bodaboda ?) , acha iwe siri.

Bali Mashaka juu ya Jambo hili ni BAADA YA WAONA MBALI KUTAMBUA KWAMBA KUMBE MUANDAAJI WA MAANDAMANO HAYO NI RPC MWENYEWE ! yaani kaandaa kupongezwa ili asitumbuliwe ! haya ndio maajabu ya Tanzania , kama waliouawa ni majambazi hofu ya kutengeneza maandamano ya mchongo inatoka wapi ?

Swali : Hivi ni wapi mlikowahi kukuta bodaboda wanaandamana ili kupongeza mauaji ya majambazi ? Kwanini leo iwe Mkoa wa Mara ? Na je kama hilo jambo limegusa Mkoa wote kwanini yasingeitishwa maandamano ya wananchi wote wa Mara badala ya kikundi kinachoitwa Madereva wa bodaboda ?

KILA UBAYA UTALIPWA


[emoji115][emoji115][emoji115]Nyingne hyo
 
Nipo tofauti kidogo na nyie hapa. Aisee polisi kama polisi hawawezi kuandaa maandamano ya dizain hii, hawa jamaa hakuna anaewapenda hivyo mpango wao ungevuja mapema kabla hawajautekeleza. Kuwapanga bodaboda zaidi ya mia na wakakuelewa wote sio kitu rahisi hata kdogo.
Hata hao ma Rpc huwezi kusema anaogopa kutumbuliwa sababu ni mara chache sana hao kumaliza miaka mitatu akiwa sehemu moja atahamishwa kwengine au kurudishwa makao yao makuu. Hawana cha kuhofia sasa maigizo ya nini????
Hakuna Bodaboda ataandamana bila kupewa mafuta ya bure. Hao Bodaboda wamepewa Lita 3 Kila mmoja Kwa gharama ya RTO Mara. Katika Hali yoyote haiwezekani Bodaboda wa Musoma kuandamana kupongeza Polisi kuua wanaowaita Majambazi wa wilaya ya Serengeti.
 
Kwa kuwa CCM na Polisi ni ndg haina shida. Ila kuna siku tutazipiga LIVE
 
Hakuna Bodaboda ataandamana bila kupewa mafuta ya bure. Hao Bodaboda wamepewa Lita 3 Kila mmoja Kwa gharama ya RTO Mara. Katika Hali yoyote haiwezekani Bodaboda wa Musoma kuandamana kupongeza Polisi kuua wanaowaita Majambazi wa wilaya ya Serengeti.
'Katika hali yoyote haiwezekani' wakati imeshawezekana tena kwa buku tisa tu ya lita 3 kama unavosema. Ndo mana nasema ingeshavuja kabla ya huo mpango, watu wa kule ni upinzani sana na wana msimamo wasingekubali.
 
'Katika hali yoyote haiwezekani' wakati imeshawezekana tena kwa buku tisa tu ya lita 3 kama unavosema. Ndo mana nasema ingeshavuja kabla ya huo mpango, watu wa kule ni upinzani sana na wana msimamo wasingekubali.
Unabisha nini wewe ?
 
Taarifa mpya kutoka Mkoani Mara zinadokeza kwamba , baada ya sarakasi za kuuawa kwa walioitwa majambazi huko Serengeti , ambapo wadau mbali mbali wamejitokeza kuhoji uhalali wa mauaji hayo ya kishamba , eti leo wameonekana madereva wa bodaboda wakimpongeza RPC Kwa kuua Majambazi , inakadiliwa kuwa Bodaboda zaidi ya 100 walishiriki maandamano hayo ya pongezi ! (Nani atathibitisha kama waandamanaji hao ni madereva wa bodaboda ?) , acha iwe siri.

Bali Mashaka juu ya Jambo hili ni BAADA YA WAONA MBALI KUTAMBUA KWAMBA KUMBE MUANDAAJI WA MAANDAMANO HAYO NI RPC MWENYEWE ! yaani kaandaa kupongezwa ili asitumbuliwe ! haya ndio maajabu ya Tanzania , kama waliouawa ni majambazi hofu ya kutengeneza maandamano ya mchongo inatoka wapi ?

Swali : Hivi ni wapi mlikowahi kukuta bodaboda wanaandamana ili kupongeza mauaji ya majambazi ? Kwanini leo iwe Mkoa wa Mara ? Na je kama hilo jambo limegusa Mkoa wote kwanini yasingeitishwa maandamano ya wananchi wote wa Mara badala ya kikundi kinachoitwa Madereva wa bodaboda ?

KILA UBAYA UTALIPWA
Catherine unahangaika sana, Kazi ya kufuga majambazi haikufai, achana nayo
 
Magufuli alilifundisha hili taifa tabia mbaya Sana ya unafiki.
Mzimu wa Pombe unawatesa sana nyie walamba asali.
Mauaji haya yangefanyika enzi za huyo Magufuli ninyi walamba asali mngemchafua kuliko maelezo, Sasa yupo mnafiki mwenzenu mnatupia lawama kaburi na harakati zenu mnahamishua kwingine
 
Kuna wimbi fulani la uhalifu unaofanywa na Askari polisi NCHINI linaendelea!

Mauaji na taharuki kama hii ILITOKEA Mwezi March MWAKA huu!KILA mahali mauaji ya kutisha yaliripotiwa!!

Yamerudi tena!kana kwamba kuna juhudi za maksudi KABISA haya KUTOKEA!

Sijui ni kwa faida ya nani hii fear factor inatengenezwa hapa NCHINI!!
Kuna hypothesis MBILI au ZAIDI HAPA nijaribu kuziandika;-

1.Ni maelekezo ya mama kwa igp aonyeshe makucha yake Ili kuwaonyesha Kuwa na yeye Anauweza mkono wa chuma Ili kutuma ujumbe kwa wale wanaomchukulia poa!!!?

2.Kuna MPANGO kazi wa kuuchafua utawala wa MAMA kwa maksudi kabisa iliachukiwe kwa MALENGO fulani maalumu kabisa ya wenye kutaka iwe hivyo!!!?

3.Ni maandalizi ya tukio Fulani ambalo hatulijui labda majasusi wanakijua Kuwa nini kinaendelea katika anga la nchi yetu!!

Hadi January mwakani picha tutaipata;!!!
Enzi za Magufuli mlisema yeye ndie muuaji, Sasa hivi mnalamba asali mnamtafutia kichaka Cha kujifichia mama yenu anaewalambisha asali...
Matatizo nchi hii yapo mjifunze kuacha kutukana watu na kusingizia.
Majambazi wakiua sheria zetu duni wanarejea uraiani kirahisi na kuendelea na kazi Ila Sasa Jambo limebadilika.
 
Back
Top Bottom