Tetesi: RPC wa Mara adaiwa kuandaa Maandamano ya kumpongeza

Tetesi: RPC wa Mara adaiwa kuandaa Maandamano ya kumpongeza

Enzi za Magufuli mlisema yeye ndie muuaji, Sasa hivi mnalamba asali mnamtafutia kichaka Cha kujifichia mama yenu anaewalambisha asali...
Matatizo nchi hii yapo mjifunze kuacha kutukana watu na kusingizia.
Majambazi wakiua sheria zetu duni wanarejea uraiani kirahisi na kuendelea na kazi Ila Sasa Jambo limebadilika.
Tangu jpm Hadi Samia NCHI inapitia mageuzi na BADO haijatulia!!!

Hadi Angalau katiba IPATIKANE Ndio utulivu utakuwepo!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba MPYA"
 
Pongezeni tuu kama mlivyopongeza mauaji ya panya road, wengi humu hamna tofauti na hao madereva wa bodaboda
 
Back
Top Bottom