Enzi za Magufuli mlisema yeye ndie muuaji, Sasa hivi mnalamba asali mnamtafutia kichaka Cha kujifichia mama yenu anaewalambisha asali...
Matatizo nchi hii yapo mjifunze kuacha kutukana watu na kusingizia.
Majambazi wakiua sheria zetu duni wanarejea uraiani kirahisi na kuendelea na kazi Ila Sasa Jambo limebadilika.