Tetesi: RPC wa Mara adaiwa kuandaa Maandamano ya kumpongeza

Tangu jpm Hadi Samia NCHI inapitia mageuzi na BADO haijatulia!!!

Hadi Angalau katiba IPATIKANE Ndio utulivu utakuwepo!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba MPYA"
 
Pongezeni tuu kama mlivyopongeza mauaji ya panya road, wengi humu hamna tofauti na hao madereva wa bodaboda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…