Raphael Thedomiri
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 442
- 729
Jambo lingine la kushangaza mara zote wachezaji wa Yanga pekee ndiyo wanaohusishwa na hizo taarifa.Akitokea mchambuzi mmoja wa mchongo akikaa tu geto akaanzisha taarifa yoyote basi kila mchambuzi wa mchongo nae atairipoti
Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe.Jambo lingine la kushangaza mara zote wachezaji wa Yanga pekee ndiyo wanaohusishwa na hizo taarifa.
Na hii ni nini? Punguzeni kulialiaJambo lingine la kushangaza mara zote wachezaji wa Yanga pekee ndiyo wanaohusishwa na hizo taarifa.
Tunawafundisha tu hao Azam namna bora kabisa ya kufuata wakati wa kumsajili mchezaji mwenye mkataba wake halali na timu yake.Na hii ni nini? Punguzeni kulialiaView attachment 2461171
Yanga ni mti wenye matunda kwasasa, wachezaji wake wanatandaza soka safi kabisaJambo lingine la kushangaza mara zote wachezaji wa Yanga pekee ndiyo wanaohusishwa na hizo taarifa.
Pesa haishindwi. Pesa tamu sana hii ni suala la muda tuFISTON Mayele anatakiwa na klabu ya RS Berkane π²π¦ ambao tayari wameaanza kumshawishi meneja wa wa nyota huyo ili avunje au kununua mkataba wake kisha wampe pesa ndefu kiasi cha $ 550k (Sh 1.2b) kama atakubaliana kuvunja mkataba wake na Yanga ili atue haraka nchini Morocco.
Chanzo: RFA
Mpira ni kazi kama kazi zingine. Hakuna mchezaji anayecheza kwasababu anaipenda Club hiyo bali ni pesa tuTunawafundisha tu hao Azam namna bora kabisa ya kufuata wakati wa kumsajili mchezaji mwenye mkataba wake halali na timu yake.
Mti wenye matunda lazima uliwe. Mayele muda si mrefu lazima aondoke. Feisal naye lazima aondoke.Yanga ni mti wenye matunda kwasasa, wachezaji wake wanatandaza soka safi kabisa
Ndiyo maana tunawafundisha hao Azam namna bora kabisa ya kumchukua mchezaji mzuri, kutoka kwenye timu yake anayochezea.Mpira ni kazi kama kazi zingine. Hakuna mchezaji anayecheza kwasababu anaipenda Club hiyo bali ni pesa tu
Haya mambo yananikumbusha kipindi cha Morrison. Kiufupi tu huyo mnabidi mpige bei tu ili kunusuru kikosi hata akirudi atacheza ujinga tu ili mfukuzeNdiyo maana tunawafundisha hao Azam namna bora kabisa ya kumchukua mchezaji mzuri, kutoka kwenye timu yake anayochezea.
Uko sahihi kabisa. Ngoja tusubiri busara za viongozi.Haya mambo yananikumbusha kipindi cha Morrison. Kiufupi tu huyo mnabidi mpige bei tu ili kunusuru kikosi hata akirudi atacheza ujinga tu ili mfukuze
Kwa sasa makolo hawana mchezaji mwenye hadhi ya kuichezea rs berkaneJambo lingine la kushangaza mara zote wachezaji wa Yanga pekee ndiyo wanaohusishwa na hizo taarifa.
Nimekuelewa mapema alfajiriπππMti wenye matunda ndio hupigwa mawe.
Hiyo ndio sababu
Sawa pesa ila fuata utaratibu, angalia wenzetu ulaya timu zinazomtaka Enzo Benifica.Zote zimepeleka barua Benifica, then now wapo kwenye stage za negotiations,hivyo ndivyo timu hufanya na si uhuni wa kumfuata mchezaji na kumshawishi wakati anamkataba.Mpira ni kazi kama kazi zingine. Hakuna mchezaji anayecheza kwasababu anaipenda Club hiyo bali ni pesa tu
Kile kizee cha mbege,kilikuwa kinapata tetesi kwa yule mghana hakina loloteMtu pekee aliyekua analeta tetesi walau za kueleweka ni priva na toka ameondoka imekua ni kubahatisha tu.