Raphael Thedomiri
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 442
- 729
FISTON Mayele anatakiwa na klabu ya RS Berkane 🇲🇦 ambao tayari wameaanza kumshawishi meneja wa wa nyota huyo ili avunje au kununua mkataba wake kisha wampe pesa ndefu kiasi cha $ 550k (Sh 1.2b) kama atakubaliana kuvunja mkataba wake na Yanga ili atue haraka nchini Morocco.
Chanzo: RFA
Chanzo: RFA