RS Berkane 2- 0 Simba Sc | CAF Confederation Cup | Stade Municipal de Berkane

Dstv kipindi cha pili live
 
Hamna Gundu Ni Uwezo Tu Cheza Mpira Weka Mipango Pia Wachezaji Waachaze Kubweteka Wajitume Kwa Morali.
Msione mapumgufu ya simba, oneni pia na uwezo wa hawa jamaa

Uwezo wa hawa jamaa ni mkubwa, kwa maana kwamba hata simba akicheza katika maximum ability ni ngumu kutusua

Magoli aliyofungwa sio ya kuwalaumu (labda lapili) kwasababu simba waliweza kuzuia vizuri mashambulizi ila ishu hii ya mipira iliyokufa ndio imewapa advantage berkane
 
Jamani Yanga hebu oneni aibu.. Tambueni tukifungwa goli nyingi ni aibu kwa taifa zima. Simba gufu moya
 
Simba ni mbovu ila mnajipa moyo baada ya kushinda goli 7 kwA ruvu ngoja leo wapige panapo uma mje mjirekebishe
 
Kwangu mie Berkane ni wa kawaida sana. Tatizo kwa Simba ni majeruhi..
Huna Mkude, Mugalu, Bwalya, Lwanga, Dilunga nk. Hawa wote ni key players
 
Simba ni mbovu ila mnajipa moyo baada ya kushinda goli 7 kwA ruvu ngoja leo wapige panapo uma mje mjirekebishe
Timu gani ya ligi kuu ikacheza na berkane hii halafu ikaonekana sio mbovu?

nyinyi mshawahi kung'untwa goli 6 na hawa hawa
 
Uzuri Matarajio Ya Kushinda Hii Match Nilishayatoa, So Matokeo Yeyote Sawa tu.
 
Kwangu mie Berkane ni wa kawaida sana. Tatizo kwa Simba ni majeruhi..
Huna Mkude, Mugalu, Bwalya, Lwanga, Dilunga nk. Hawa wote ni key players
hapo kwenye list yako, umemtaja mugalu kwa bahati mbaya ipitie upya post yako kisha ui hariri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…