Nusu mtu nusu chuma leo sio beki?Hawa Jamaa Wana Tu Prove Kuwa Hatuna Beki
kumtukana manula ni kulitukana taifaManula ni kipa wa hovyo
Wacha watwanganee aiseee[emoji23]Haya vitasa viendeleee
Mzee naona imeamia huku baada ya ushindi kule kwetu40'
Rs Berkane 2 - 0 Simba SC
Usipoteze nguvu zako kumwelewesha shabiki wa timu ya wasiojua.Timu gani ya ligi kuu ikacheza na berkane hii halafu ikaonekana sio mbovu?
nyinyi mshawahi kung'untwa goli 6 na hawa hawa
Nimeiona kwenye kageraMkuu Yanga Ya Sasa Wewe Mwenyewe Umeiona Kabisa Si Ya Kitoto Wala Mchezo.
Pia Spirit Ndio Kila Kitu, Wachezaji Wako Kama Wamelala Na Kuridhika.