RS Berkane 2- 0 Simba Sc | CAF Confederation Cup | Stade Municipal de Berkane

RS Berkane 2- 0 Simba Sc | CAF Confederation Cup | Stade Municipal de Berkane

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hasira za chelsea nimewamalizia Arsenal
Za simba sasa nimpe nani [emoji38]
Ni kuteseka tyuuh yaan khaaah [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapa kwa Pablo tukubali kuwa tumepigwa!! Yaani anaanzaje kumuacha nje morrisson, kagere na mhilu halafu anawaanzisha kina nyoni na boko...hivi kulikuwa na haja gani ya kuchezesha mabeki watano kwenye mechi ya leo..??

Tungekuwa tunacheza na Al ahly pale Cairo si angechezesha hata mabeki 8 ,kiungo mmoja na mshambuliaji mmoja!?
Sehemu nyingine uwe unaangalia opponent unaye m-face

We ulivyoona huu uzito ni sawa kujilinganisha na sisi kiasi cha lawama ziende kwa kocha?
 
Hapa kwa Pablo tukubali kuwa tumepigwa!! Yaani anaanzaje kumuacha nje morrisson, kagere na mhilu halafu anawaanzisha kina nyoni na boko...hivi kulikuwa na haja gani ya kuchezesha mabeki watano kwenye mechi ya leo..??

Tungekuwa tunacheza na Al ahly pale Cairo si angechezesha hata mabeki 8 ,kiungo mmoja na mshambuliaji mmoja!?
Mkuu, leo Pablo ameanza na WALINZI NANE.
Ninaposema walinzi namaanisha defending or defending minded players wa idadi hiyo.

1. Manula
2. Kapombe
3. Zimbwe
4. Inonga
5. Kennedy
6. Onyango
7. Erasto Nyoni
8. Kanoute

This is too much. Kucheza kwa kujilinda haimaanishi uwe na walinzi wengi. Ni namna timu nzima inavyocheza. Kuna siku atakuja kucheza na mabeki kumi huyu jamaa.

Wachezaji wasio walinzi walikua watatu tu,

9 Bocco
10 Sakho
11 Banda

Nilivyoona tu hicho kikosi nikapata wasiwasi, kwamba ina maana tunaamini katika idadi ?
 
Ujinga wa simba si kufungwa. Ni kutofunga wakati hiyo timu ilikuwa inacheza kawaida tu. Sio timu ya kupaki basi ile. Wangejiamini wakawashambulia.
Kiukweli sijaona possibility ya simba kuweza kufunga goli kwenye game ya leo

Kama chance tu yakuweza ku hold mpira kwa sekunde 30 bila kupokwa na mpinzani haikuwepo, hiyo nafasi ya kuweza kufunga ingesababishwa na kitu gani?

Labda penati
 
Hapa kwa Pablo tukubali kuwa tumepigwa!! Yaani anaanzaje kumuacha nje morrisson, kagere na mhilu halafu anawaanzisha kina nyoni na boko...hivi kulikuwa na haja gani ya kuchezesha mabeki watano kwenye mechi ya leo..??

Tungekuwa tunacheza na Al ahly pale Cairo si angechezesha hata mabeki 8 ,kiungo mmoja na mshambuliaji mmoja!?
So unashauri dhidi ya al ahly aende na 8-1-1 ugenini alafu kwa mkapa aende na 1-1-8
 
Mkuu, leo Pablo ameanza na WALINZI NANE.
Ninaposema walinzi namaanisha defending or defending minded players wa idadi hiyo.

1. Manula
2. Kapombe
3. Zimbwe
4. Inonga
5. Kennedy
6. Onyango
7. Erasto Nyoni
8. Kanoute

This is too much. Kucheza kwa kujilinda haimaanishi uwe na walinzi wengi. Ni namna timu nzima inavyocheza. Kuna siku atakuja kucheza na mabeki kumi huyu jamaa.

Wachezaji wasio walinzi walikua watatu tu,

9 Bocco
10 Sakho
11 Banda

Nilivyoona tu hicho kikosi nikapata wasiwasi, kwamba ina maana tunaamini katika idadi ?
Nimejuta sana kupoteza dakika 90 kuangalia huu upuuzi...kumbuka alifanya hivi mechi dhidi ya red arrows kule zambia na wale jamaa walikaribia kufanya comeback.

Sijui hajui kuwa strength ya simba ipo kwenye kumiliki mpira? Ona kipindi cha pili tulipoanza kufunguka uliona berkane wote wakirudi nyuma na kutuachia nafasi ya kutengeneza mashambulizi...too bad tulikuwa pungufu maana john bocco simuhesabu kama alikuwa mchezaji wetu.

Peter Banda hakustahili kutolewa badala yake alitakiwa ampunguze nyoni ama kennedy Juma ili aongeze nguvu katika mashambulizi..ila ndo hivyo kocha hajielewi.
 
Mkuu, leo Pablo ameanza na WALINZI NANE.
Ninaposema walinzi namaanisha defending or defending minded players wa idadi hiyo.

1. Manula
2. Kapombe
3. Zimbwe
4. Inonga
5. Kennedy
6. Onyango
7. Erasto Nyoni
8. Kanoute

This is too much. Kucheza kwa kujilinda haimaanishi uwe na walinzi wengi. Ni namna timu nzima inavyocheza. Kuna siku atakuja kucheza na mabeki kumi huyu jamaa.

Wachezaji wasio walinzi walikua watatu tu,

9 Bocco
10 Sakho
11 Banda

Nilivyoona tu hicho kikosi nikapata wasiwasi, kwamba ina maana tunaamini katika idadi ?
Sasa hapo huoni kama kuna walinzi wanaokupa double profit itakayoku offer matokeo zaidi ya mawili?
 
Njia nzuri ya kujilinda ni kumiliki mpira....hii ndio falsafa ya makocha wanaojielewa kama kina guardiola. Anaweza kuchezesha timu ina viungo 7 tu na bado anashinda goli 4 au 5...bila ya kutetereka. Muda wote ana demand wachezaji wake wawe na mpira .Ila sisi huku tunawaachia wapinzani wamiliki mpira
 
Tunategemea kwa mkapa utadhani tumeandikiwa insurance ...wale USGN sio wa kueabeza ni timu nzuri chochote kinaweza kutokea hapa kwa mkapa
 
Njia nzuri ya kujilinda ni kumiliki mpira....hii ndio falsafa ya makocha wanaojielewa kama kina guardiola. Anaweza kuchezesha timu ina viungo 7 tu na bado anashinda goli 4 au 5...bila ya kutetereka. Muda wote ana demand wachezaji wake wawe na mpira .Ila sisi huku tunawaachia wapinzani wamiliki mpira
Nikweli lakini tunarudi pale pale

Hebu jaribu kuwaza ushauri huu ndio angepewa ruvu siku ambayo anakabiliana na mnyama kwa mkapa

Kwa maoni yako hiyo nafasi ya kumiliki mpira kwa muda mrefu ingewezekana?
 
Nimejuta sana kupoteza dakika 90 kuangalia huu upuuzi...kumbuka alifanya hivi mechi dhidi ya red arrows kule zambia na wale jamaa walikaribia kufanya comeback.

Sijui hajui kuwa strength ya simba ipo kwenye kumiliki mpira? Ona kipindi cha pili tulipoanza kufunguka uliona berkane wote wakirudi nyuma na kutuachia nafasi ya kutengeneza mashambulizi...too bad tulikuwa pungufu maana john bocco simuhesabu kama alikuwa mchezaji wetu.

Peter Banda hakustahili kutolewa badala yake alitakiwa ampunguze nyoni ama kennedy Juma ili aongeze nguvu katika mashambulizi..ila ndo hivyo kocha hajielewi.
Ni kweli mkuu, first half tuliwapa UHURU ULIOPITILIZA wa kuja golini kwetu.

Mimi sijaumizwa na matokeo, ila namna tulivyocheza hasa first half ndio shida naiona.
Anyways naamini mechi zetu mbili za nyumbani tutashinda na kufikisha pointi 10, lakini hii approach ya leo watu wa ufundi wanatakiwa waitazame upya.

Haka kaujinga ka kutaka kupaki basi ndio kalikowaponza Kaizer Chiefs ile mechi yao dhidi yetu kwa Mkapa, bahati mbaya tu kuna magoli tulikosa ila nne zilikua zinarudi.

Huwezi kupaki basi kuanzia dakika ya kwanza utegemee utafanya hivyo kwa dakika zote tisini, ni kazi mno.

Muonyeshe mpinzani kwamba nawewe ni threat kwake ili aje kukushambulia kwa tahadhari.
 
Matokeo mawili hatukatai...si unaona final result ni 2-0
Na hayo matokeo ni uwezo binafsi wa wapinzani

Hii ya leo sio ya kumlaumu kanoute kama ile ya niger

Utapoteza muda mwingi kutafuta makosa madogo madogo ya wachezaji ili kuhalalisha sababu ionekane ni wao wamefelisha

Hii ya leo tukiri tu kuwa hawa majamaa wametuzidi kiwango bila kupepesa macho
 
Tunategemea kwa mkapa utadhani tumeandikiwa insurance ...wale USGN sio wa kueabeza ni timu nzuri chochote kinaweza kutokea hapa kwa mkapa
Japo kucheza nyumbani kuna kuwa na faida kwa mwenyeji ila sio kwa kukuoa gurantee

Siku hizi ni kucheza kwa tahadhari na kumheshimu mpinzani, al ahly mwenyewe hakutegemea kilichomkuta

Tukiishi kwa kanuni ya "kwa mkapa hatoki" itatujengea ubovu wa kimazoea ambao utakuja kusababisha tupigwe kichapo cha aibu

Hawa berkane hata wakija kwa mkapa kama tutashinda basi ni goli moja huku na wao wakishambulia sana
 
Kweli Simba imefungwa, lakini hiyo timu ya Berkaane sio bora kivile.

Kwa tathmini yangu ya Simba, kila ikienda katika nchi ambazo hali ya hewa ni baridi sana kama ilivyo Berkane huwa hawafanyi vizuri. Ilikuwa hivyo ilivyocheza na Kaizer, msimu ule south kulikuwa na baridi haswa.

Natumaini mechi za nyumbani itafanya vzr. Japo pia wachezaji wengi ni majeruhi, bado naamini Simba itafanya vzr mashindano haya.

Na pia refa ni kama alikuwa Pro berkane.
 
Nikweli lakini tunarudi pale pale

Ebu jaribu kuwaza ushauri huu ndio anlipewa ruvu siku ambayo anakabiliana na mnyama kwa mkapa

Kwa maoni yako hiyo nafasi ya kumiliki mpira kwa muda mrefu ingewezekana?
Not necessarily kumiliki mpira mkuu, pick some moments kamshambulie mpinzani ili nayeye ajue kwamba yuko hatarini kufungwa hivyo aje kwako kwa heshima.

Kipindi cha pili bado Berkane alikua na possession kubwa kuliko sisi lakini hatukukaa nyuma muda wote, tukisubiri yeye aje kutushambulia sisi kazi yetu iwe ni kulinda tu.

Hiki ndicho wadau tunaamini kwamba ndio ilipaswa kubwa best approach.

Jambo jingine, in a long run, Simba inapaswa kupunguza wachezaji wanaopunguza ufanisi wa timu.
Mchezaji ambaye hawezi kutuliza mpira, ambaye hawezi kupiga pasi kwa usahihi, wachezaji ambao hawawezi "kukaa na mali", n.k

Madhara ya hawa watu unaweza usiyaone kila siku, lakini kimsingi wanashusha sana overall performance ya timu.

Yaani hawa ni sawa na wanafunzi wanaopata division two pale St. Francis secondary school, wanakua hawajafeli lakini wanaifanya shule isiwe ya kwanza kitaifa.

Nadhani umenielewa.
 
Ni kweli mkuu, first half tuliwapa UHURU ULIOPITILIZA wa kuja golini kwetu.

Mimi sijaumizwa na matokeo, ila namna tulivyocheza hasa first half ndio shida naiona.
Anyways naamini mechi zetu mbili za nyumbani tutashinda na kufikisha pointi 10, lakini hii approach ya leo watu wa ufundi wanatakiwa waitazame upya.

Haka kaujinga ka kutaka kupaki basi ndio kalikowaponza Kaizer Chiefs ile mechi yao dhidi yetu kwa Mkapa, bahati mbaya tu kuna magoli tulikosa ila nne zilikua zinarudi.

Huwezi kupaki basi kuanzia dakika ya kwanza utegemee utafanya hivyo kwa dakika zote tisini, ni kazi mno.

Muonyeshe mpinzani kwamba nawewe ni threat kwake ili aje kukushambulia kwa tahadhari.
Kupaki basi dakika za mwanzo ni wrong move

Ila ukiona majamaa wanazidi kuja kwa speed na mipira wanakaba kila dakika wanaliandama goli, unakuta automatic tu unapaki basi

Kwasababu kama hauna uwezo wa kuvusha mipira eneo lako na kufanya mashambulizi basi hapo unakuwa unalazimishwa ucheze mfumo huo wa kupaki basi kwasababu kama huna mpira huko mbele utaenda kufanya nini....so lazima uhakikishe usalama kwenye lango lako ni wakuridhisha ndio ufanye mengine
 
Sasa hapo huoni kama kuna walinzi wanaokupa double profit itakayoku offer matokeo zaidi ya mawili?
Unataka kusema kulinda ni kuwa na idadi kubwa ya walinzi ?
(Mfano golikipa na mabeki 10).

Na kushambulia ni kuwa na idadi kubwa ya washambuliaji ?
(Mfano golikipa na washambuliaji 10) ?
 
Back
Top Bottom