RSM (Regimental Sergeant Major) wa Jeshi la Wananchi - JWTZ

RSM (Regimental Sergeant Major) wa Jeshi la Wananchi - JWTZ

Wale wazee wanaa sana. Alikwepo RSM kayange. Mzee anasauti ya kijeshi na popote akiwepo utajua tu kayange yupo.
 
Msimamizi wa nidhamu sio kwa askari wadogo tu,hata maofisa wadogo,ndiye mlezi wa kambi nzima na familia za askari kambini.
Ndiye mtu anayebaki na familia za askari kambini askari wa kikosi wanapokuwa vitani.

Kifupi RSM na mkuu wa kambi ni dugu moja,kasoro vyeo.
Mbona kuna ndugu yetu alikuwa Rsm yeye alikuwa mlevi tu na ana tukana hovyo hovyo
 
..hapo chini ni gwaride la miaka 60 ya uhuru.

..kuna utambulisho umefanyika kuhusu wasimamizi wa gwaride na kuna maveteran wa magwaride Tz ambao wameshiriki.

..mmojawapo na parade commander ktk maadhimisho mengi hapa nchini Brigedia Jenerali mstaafu Ambrose Peter Bayeke.

..pia kuna RSM mstaafu wa Jwtz Warrant Office I Faustine Madasha, na RSM wa Jwtz Warrant Office I Peter Kaziro.

..miaka ya nyuma alikuwepo parade RSM maarufu sana Warrant Office I Wilbard Mukama sikumsikia akitajwa.

..Waliiongoza gwaride la Uhuru ni Parade Commander Lt.Col.Himidi Alawi Nguzo; Parade 2-I-C Major.Mboka Nisile Mwangama; Parade Adjutant Capt.Godfrey Matete Malima; Parade RSM Warrant Officer I James Mataba Manumbu.




cc Nguruvi3
Kusahulika hutokea sijui kwa Nini baadhi ya watu jeshini husaulika mchango wao haswa wanapotajwa wengine baadhi Wana sahulika Hali walishiriki
 
Back
Top Bottom