Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Cheo alikuwa na akastaafu nacho mzee wangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa mnoko sana dingi yako.Cheo alikuwa na akastaafu nacho mzee wangu.
[emoji1787][emoji1787]Siunajua issue za dosari unakuta mwana kadata hapo [emoji23][emoji23]
Mbona kuna ndugu yetu alikuwa Rsm yeye alikuwa mlevi tu na ana tukana hovyo hovyoMsimamizi wa nidhamu sio kwa askari wadogo tu,hata maofisa wadogo,ndiye mlezi wa kambi nzima na familia za askari kambini.
Ndiye mtu anayebaki na familia za askari kambini askari wa kikosi wanapokuwa vitani.
Kifupi RSM na mkuu wa kambi ni dugu moja,kasoro vyeo.
Hulka Tena ndugu yangu,si unaona hata Kuna mapadri wanakula waumini??Mbona kuna ndugu yetu alikuwa Rsm yeye alikuwa mlevi tu na ana tukana hovyo hovyo
Hahaaaaaaa, mzee alishastaafu muda mkuuAtakuwa mnoko sana dingi yako.
Kusahulika hutokea sijui kwa Nini baadhi ya watu jeshini husaulika mchango wao haswa wanapotajwa wengine baadhi Wana sahulika Hali walishiriki..hapo chini ni gwaride la miaka 60 ya uhuru.
..kuna utambulisho umefanyika kuhusu wasimamizi wa gwaride na kuna maveteran wa magwaride Tz ambao wameshiriki.
..mmojawapo na parade commander ktk maadhimisho mengi hapa nchini Brigedia Jenerali mstaafu Ambrose Peter Bayeke.
..pia kuna RSM mstaafu wa Jwtz Warrant Office I Faustine Madasha, na RSM wa Jwtz Warrant Office I Peter Kaziro.
..miaka ya nyuma alikuwepo parade RSM maarufu sana Warrant Office I Wilbard Mukama sikumsikia akitajwa.
..Waliiongoza gwaride la Uhuru ni Parade Commander Lt.Col.Himidi Alawi Nguzo; Parade 2-I-C Major.Mboka Nisile Mwangama; Parade Adjutant Capt.Godfrey Matete Malima; Parade RSM Warrant Officer I James Mataba Manumbu.
cc Nguruvi3
Hapo umesema baba!! Sie tulikuwa nae pale 835 kj kipindi tunajiandaa na passing square Alikuw anakuja kutupa demo anajua balaa!!. Sema m'o sio mojaaa.Yanajua kwata hayo madingi usipime.