RT-Russia , ingefaa sana isingefungiwa ili tujue kinachoendea huko Urusi

RT-Russia , ingefaa sana isingefungiwa ili tujue kinachoendea huko Urusi

Russia kila kitu kimedhibitiwa ni marufuku kulalamika,wanasayansi waliomtapeli Putin kuwa hypersonic misile walizotengeneza haziwezi kudunduliwa wako ndani baada ya kuona zinashushwa kirahisi sana na patriot ADs
Great thinker huyo anatoa taarifa! Aisee!!!!
 
Nchi za kijamaa ni za kipuuzi mno. Hata Tz imetugharimu kuwa na vinasaba vya kijamaa.

Hayati alikosea sana hapa.
 
Russia kila kitu kimedhibitiwa ni marufuku kulalamika,wanasayansi waliomtapeli Putin kuwa hypersonic misile walizotengeneza haziwezi kudunduliwa wako ndani baada ya kuona zinashushwa kirahisi sana na patriot ADs
Meli kubwa kabisa ya kivita ya MOSKVA ilipozamishwa, Russia ikapinga kuwa meli haijazamishwa. Baadae wakakiri ni kweli imezamishwa, wale viongozi wote wa meli wakawekwa ndani.
 
Russia is a closed society. Mleta mada unataka uhuru wa habari huko? Kumbuka: “not to that extent”!

We endelea kufuatilia mkimbizano feki wa Harry & Meghan na mapaparazzi wa New York City.
 
NIMECHUNGULIA KULE NIMEONA NI PROPAGANDA ZIKILENGA , KUWAAMINISHA WANANCHI WA URUSI KUWA UKRAINE NI WANAZI KAMA WA KIPINDI KILE CHA HITLER, YAAAANI. ZELENSKY NI HITLER WA SASA....


HII NI HATARI MAANA WANANCHI WENGI WATAJIUNGA KATIKA HULKA ZA KUPIGANA VITANI




NDO MAANA NKASEMA VITA INA PANDE MBILI , HUKU TUNAONA WANA UKRAINE WAKIPIGANIA ARDHI YAO KULE TUNAONA NI KUWA PROPAGANDA ZA KUWAAMINISHA WARUSI KUWA KUNA UNAZI UKRAINE
 
U
Kwa nilivyosoma jana Ukrain sio ruhusa mwananchi kurekodi tukio lolote. Ikitokea atakamatwa na kupewa kesi. Ukrain video zake wanatoa ki propaganda tu(serikali yenyewe)
U
Ukreni ndio wanaodhibiti habari ZAO,hutakiwi kutoa habari inayoiumbua serikali na NATO
 
Acha kupotosha!!hayo mashirika ya tv ya kimataifa yanayo onyesha live kile kinachotokea UKRAINE kila siku mbona hayafungiwi?
Limitation. Aljazera tv ilikuwa inarusha uhalisia wa vita vya USA na Iraq pamoja na kule Afghanistan unajua kilicho wakuta Kutoka kwa marekani?. Unakumbuka wakati wa uchaguzi 2015 Tanzania ITV kilichowakuta?.
 
Russia ni (Police State) kwenye vyombo vyao vya habari kama RT wanakuonyesha kile wanachotaka uone tu na sio vinginevyo. Russia bure kabisa.
 
Limitation. Aljazera tv ilikuwa inarusha uhalisia wa vita vya USA na Iraq pamoja na kule Afghanistan unajua kilicho wakuta Kutoka kwa marekani?. Unakumbuka wakati wa uchaguzi 2015 Tanzania ITV kilichowakuta?.
Limitations zipi hizo? Hiki ndio kituo cha tv kinachoonyesha matukio halisi yanayotokea popote duniani, na ndio maama Israel hapatani nacho kabisa,
 
Mkuu ebu lala upumzishe akili from stress and chuki, ulichokiandika ni pumba na ushabiki maandazi tu, kama nikuhusu propaganda hao west na marekani ndio wanaongoza kuwalisha watu wao
Da waafrika mna akili fupi , Urusi ndo inakuumiza hv ? Ndio maana mmeng'ang'ania dini za watu mnauana kumbe ni akili zenu fup
 
Kwa nilivyosoma jana Ukrain sio ruhusa mwananchi kurekodi tukio lolote. Ikitokea atakamatwa na kupewa kesi. Ukrain video zake wanatoa ki propaganda tu(serikali yenyewe)
Mkuu rudi milembe , unahis Ukraine wana serikali ya kipropaganda kama Urusi , kama waliweza kuandamana mwaka 2013 kumtoa rais wa kipind hicho je watashindwaj kumtoa huyu kama anafanya wasichokitaka ? Au unahis wazung ni mazuz wenzio
 
Russia kila kitu kimedhibitiwa ni marufuku kulalamika,wanasayansi waliomtapeli Putin kuwa hypersonic misile walizotengeneza haziwezi kudunduliwa wako ndani baada ya kuona zinashushwa kirahisi sana na patriot ADs
Patriot ipi? Zile zilizo chakazwa 6 kwa mpigo?
 
NIMECHUNGULIA KULE NIMEONA NI PROPAGANDA ZIKILENGA , KUWAAMINISHA WANANCHI WA URUSI KUWA UKRAINE NI WANAZI KAMA WA KIPINDI KILE CHA HITLER, YAAAANI. ZELENSKY NI HITLER WA SASA....


HII NI HATARI MAANA WANANCHI WENGI WATAJIUNGA KATIKA HULKA ZA KUPIGANA VITANI




NDO MAANA NKASEMA VITA INA PANDE MBILI , HUKU TUNAONA WANA UKRAINE WAKIPIGANIA ARDHI YAO KULE TUNAONA NI KUWA PROPAGANDA ZA KUWAAMINISHA WARUSI KUWA KUNA UNAZI UKRAINE
Duh!wewe jamaa..
 
Back
Top Bottom