Tella Mande
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 494
- 675
Jamaa wa ruangwa kajijengea kamtandao ka upigaji sanaWakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015 , sisi Watu wa Kyela tuliokuwa tunampinga Mwakyembe (Aliyetajwa kama PM ajaye) Tulishambuliwa vibaya mno.
Binafsi nimefuatwa inbox na zaidi ya watu10 ili nisimpinge Mwakyembe maana akiwa Waziri Mkuu Kyela yetu ingekuwa Paradiso , Hata hivyo Mwakyembe alipewa ushindi wa mabavu na alipokosa U PM Kyela yote iliripuka kwa furaha (sijui kwanini) .
Nadhani haya ya Ruangwa ndio niliyokuwa naambiwa inbox na wadau .
Jinga wewe,Shida ipo wapi? Kwa Kwan sio sehemu ya Tanzania?
Wameanzia Chato,sasa Ruangwa itakwenda mpk nchi yote itajengwa,taratibu mkuu watafika tu na huko uliko,vuta subira,acha wivu mkuu au tukupe wewe u PM tuone jinsi utakavyokwenda kujenga kwa wenzako na uache kwako....Waziri Mkuu Majaliwa hana tofauti kubwa na marehemu Magufuli kila mara yuko nyumbani kwao Ruangwa na ni kupeleka miradi kila baada ya miezi kadhaa.
Hajui yeye ni Waziri Mkuu wa nchi nzima? Leo ametoa mikopo Milioni 256, hii hela ni nyingi sana kwa wilaya moja.
Bado nradi wa maji sijui nafikiri Bilioni 500. Kwanini haya mambo ya upendeleo na ubaguzi yameanza wakati wa Magufuli?
Nchi hii haikuwa na mawaziri wakuu kabla? Haya ni matumizi mabaya ya nafasi.
Lini atatembelea wilaya zingine na kupelekea neema ya miradi inayofanana na ambayo amekuwa akiipeleka Ruangwa kila mara?
Amesahau yeye ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Atumikie watanzania wote kwa usawa.
Mtaemdelea kuletewa viuatilifu vya magumashi hadi mtaakapo pata uelewaKama hiyo miradi inaenda kuinufaisha Lindi basi sioni shida,nachukia sana mnavyotucheka kwamba hatujapiga hatua;ila kaeni mkijua kwamba hata hatua mliopiga katika mikoa yenu ilitokana na jitihada ya viongozi wa serikali(ndugu zenu) kuelekeza kila mradi wa maendeleo katika mikoa yenu na wakatuacha sisi wanakusini,hapo kabla, kila jambo zuri lilielekezwa sijui Dodoma,Arusha mara shinyanga..
Tawala zilizopita zilikuwa za hovyo sana maana zilijawa na unyumbani,nasi utanzania.
Acheni nasi wanalindi tufaidi maana hii nchi sio ya baba yenu bali ni yetu sote.[emoji57]
Muda utafika hakikaHaya ndiyo yalipelekea Kenya kufanya devolution. Nahisi na sisi tunahitaji devolution.
Mbona tunaambiwa huko watu wanafuga sana Ng'ombe?Mkuu acha tu wajenge kwao,nipo Butiama jioni hii,nimetoka kumuagiza boda maziwa mtindi boda kaniambia huwezi kupata,nimeenda mwenyewe kutafuta,Hakuna duka linalouza mtindi butiama.Naongelea maziwa mtindi guys,Butiama inasikitisha sana.Acha viongozi wajenge kwao.
Wewe umenena..na hizo ni vijisent tu.Hizo hela za mwarabu OBC
500 billion siyo mchezo labda alimaanisha 5 billionHivi bossy naomba kuuliza unafahamu mradi wa maji wa billion 500 ni mkubwa sana. Ebu hakiki taarifa zako kwanza. Tuje kumsema kiongozi mwongo
Waziri mkuu gani aliwahi kutokea mkoa wa Manyara?Haya mambo waliyaanzisha mawaziri wakuu waliokuwa wanatokea mikoa ya Kaskazini i.e Arusha Klm na Manyara
Bro kwa mambo ambayo Mwalimu nyerere amefanyia hii nchi nyumbani kwake hapakupaswa kusahaulika hivi.Umeongea kwa uchungu sanaa mkuu
Usijifariji mkui.Kama hiyo miradi inaenda kuinufaisha Lindi basi sioni shida,nachukia sana mnavyotucheka kwamba hatujapiga hatua;ila kaeni mkijua kwamba hata hatua mliopiga katika mikoa yenu ilitokana na jitihada ya viongozi wa serikali(ndugu zenu) kuelekeza kila mradi wa maendeleo katika mikoa yenu na wakatuacha sisi wanakusini,hapo kabla, kila jambo zuri lilielekezwa sijui Dodoma,Arusha mara shinyanga..
Tawala zilizopita zilikuwa za hovyo sana maana zilijawa na unyumbani,nasi utanzania.
Acheni nasi wanalindi tufaidi maana hii nchi sio ya baba yenu bali ni yetu sote.[emoji57]
Ukweli kabisa sijui ni kwann viongozi hawataki kulifanyia kaziBro kwa mambo ambayo Mwalimu nyerere amefanyia hii nchi nyumbani kwake hapakupaswa kusahaulika hivi.
Hata makamo wa kwanza wa rais hawezi kumkoromeya sheha.Zenji hawezi kumkoromea hata sheha, kamuulize kilichompata Pinda aliposema Zenji sio nchi,
Ukweli kabisa sijui ni kwann viongozi hawataki kulifanyia kaziBro kwa mambo ambayo Mwalimu nyerere amefanyia hii nchi nyumbani kwake hapakupaswa kusahaulika hivi.
Huko hakupiti gari.Vipi kule mchamba wima..bado hawajawekewa traffic lights?
#MaendeleoHayanaChama
Sumaye,unapafahamu kwao kule Kateshi /Hanang' . hujawahi fika Manyara eenh?Waziri mkuu gani aliwahi kutokea mkoa wa Manyara?
Kazi kweli kweliWatanzania usipoendeleza kwenu wanakuona mjinga mi naona sawa tu sasa wafanyeje.