Ruangwa kama Chato

Hii ni kama hadithi ya mwizi au fisadi. Mzazi akiwa mwizi/fisadi akaipa familia raha watamtetea kwa nguvu zoteee... subiri sasa ea mwingine awe mwizi/ fisadi. Utasikia ua, funga, peleka ICC nk. Hii sio hulka njema kabisa.

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
 
Jamaa wa ruangwa kajijengea kamtandao ka upigaji sana
 
Wameanzia Chato,sasa Ruangwa itakwenda mpk nchi yote itajengwa,taratibu mkuu watafika tu na huko uliko,vuta subira,acha wivu mkuu au tukupe wewe u PM tuone jinsi utakavyokwenda kujenga kwa wenzako na uache kwako....
 
Mtaemdelea kuletewa viuatilifu vya magumashi hadi mtaakapo pata uelewa
 
Mbona tunaambiwa huko watu wanafuga sana Ng'ombe?
 
Usijifariji mkui.
Watu wa Pwani mnaendekeza starehe sana bila kuwekeza.
Hakuna mkoa ambao serikali iliwajaza wananchi pesa mfukoni wala kuwajengea nyumba.

Mnaendekeza ki..t..omba..na sana na maneno mengii mnasahau kupambana msomeshe watoto.

Nchi hii ni kaskazini, Kanda ya Ziwa kiasi na nyanda juu kusini hasa Iringa na Mbeya ndio wananchi wanapambana kujiendeleza na kusomesha watoto na leo hii elimu imeleta matunda katika mikoa hiyo.
Acheni uvivu japo sio wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…