TANZIA Rubani wa Ndege iliyotekwa 1982 kushinikiza Nyerere ajiuzulu afariki dunia

TANZIA Rubani wa Ndege iliyotekwa 1982 kushinikiza Nyerere ajiuzulu afariki dunia

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
C09703C8-CD19-4C5B-A399-3A69D9AC424A.jpeg


Rubani wa Ndege iliyotekwa mwaka 1982 na vijana waliokuwa wakishinikiza Mwalimu Nyerere ajiuzulu, amefariki dunia.

Capt Deo Mazula alifariki tarehe 6 Januari 2022 na Kesho (Januari 11, 2022) anatarajiwa kuzikiwa jijini Arusha katika Makaburi ya Njiro.

Unaweza kusoma kuhusu kisa cha kutekwa kwa ndege hii, hapa Nini kilipelekea vijana wa Tanzania kuteka ndege ya ATC 1982 Mwanza?
 
View attachment 2076364

Rubani wa Ndege iliyotekwa mwaka 1982 na vijana waliokuwa wakishinikiza Mwalimu Nyerere ajiuzulu, amefariki dunia.

Capt Deo Mazula alifariki tarehe 6 Januari 2022 na Kesho (Januari 11, 2022) anatarajiwa kuzikiwa jijini Arusha katika Makaburi ya Njiro.

Unaweza kusoma kuhusu kisa cha kutekwa kwa ndege hii, hapa Nini kilipelekea vijana wa Tanzania kuteka ndege ya ATC 1982 Mwanza?
Nilimtembelea nyumbani kwake kabla,mwanae ni Rafiki yangu, alikuwa kakonda sana huyu mzee acha apumzike tu
 
Kuna Mazula mmoja kaburi lake liko Kinondoni pamoja na la mkewe yametengenezwa kwa slab (very nice)
George Mazula jina lake alikuwa ni mwenye ku smile za zote na ni rafiki wa kila mtu.Aliwahi kufanya emergency landing na Fokker ya ATC ,matairi yalikataa kutoka na akaiweka ndege chini kwa tumbo salama salimini...hii ilikuwa DIA..

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom