Ngunichile
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 356
- 522
yasin memba, huyu ndo aliyeteka na wenzie nae amefariki..
He was very-cool huwezi kumdhania. Baadae alisoma sheria na amepractise kwa muda alikuwa na ofisi pale new red cross miaka ya 2014, RIP.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yasin memba, huyu ndo aliyeteka na wenzie nae amefariki..
Cc EsamiFamilia ya Mazula ilikuwa familia rafiki sana na familia ya Mwalimu Nyerere.
Watoto wengi wa hii familia ni wasomi wakubwa wa enzi hizo
Mkuu wape pole EsamiNilimtembelea nyumbani kwake kabla,mwanae ni Rafiki yangu, alikuwa kakonda sana huyu mzee acha apumzike tu
yeah wakili yasini memba,pia aliomba kura za maoni ubunge kaweHe was very-cool huwezi kumdhania. Baadae alisoma sheria na amepractise kwa muda alikuwa na ofisi pale new red cross miaka ya 2014, RIP.
Asante kwa taarifa hii, tulikuwa tunakaa nae mtaa mmoja Drive In Flats, na mdogo wake pia alikuwa Pilot wa ATC.View attachment 2076364
Rubani wa Ndege iliyotekwa mwaka 1982 na vijana waliokuwa wakishinikiza Mwalimu Nyerere ajiuzulu, amefariki dunia.
Capt Deo Mazula alifariki tarehe 6 Januari 2022 na Kesho (Januari 11, 2022) anatarajiwa kuzikiwa jijini Arusha katika Makaburi ya Njiro.
Unaweza kusoma kuhusu kisa cha kutekwa kwa ndege hii, hapa Nini kilipelekea vijana wa Tanzania kuteka ndege ya ATC 1982 Mwanza?
Walikuwa ni mtu na kaka yake, na wote brand cars zao zilikuwa ni Volvo, enzi hiyo mawaziri gari zao zikiwa ni Pegeot 504 number zikiwa STC na STD!. Gari za polisi zilikuwa Landrover 109, na escort ya Nyerere ilikuwa Peogeot 404. Benzi yenyewe ya Nyerere naomba nisiseme, ila kulikuwa na mhindi tajiri kwa jina la Lord Rajipar, akaleta Benz kali kuliko ya Rais, S Class 500 miaka hiyo!. alitiwa ndani kwa uhujumu!.Hivi Kuna Ndugu Mwingine Aliitwa George Mazula?? Naye alikuwa Rubani ATC?? Naomba Kufahamishwa Tafadhali
Humu kuna member nilimsaidiaga kufungua akaunti alizaliwa mwaka 1948. Vijana wakimtukanaga yeye huwa anatukana kwa mdomo mi huwa nacheka sana.Watu humu kumbe ni wakongwe.
Sisi wenye 30's tunawasikiliza nyie tu
Boss wangu wa zamani, na zungu lake,very calm na usingeweza amini kama ni mtu wa matukioHe was very-cool huwezi kumdhania. Baadae alisoma sheria na amepractise kwa muda alikuwa na ofisi pale new red cross miaka ya 2014, RIP.
Yupo George alikuwa anasoma Tambaza. Hawa nadhani walikuwa brothers wawili wote marubani.Hivi Kuna Ndugu Mwingine Aliitwa George Mazula?? Naye alikuwa Rubani ATC?? Naomba Kufahamishwa Tafadhali
Kuna Mazula mmoja kaburi lake liko Kinondoni pamoja na la mkewe yametengenezwa kwa slab (very nice)
Na bado hamuachi kuendelea kulipwa buku saba za Lumumba.Wahenga tumo wa kumwaga, usituone tunatukanwa na vijana wa chadema ukadhani sote ni 30s.
Alikuwepo George Mazula. Kama sikukosea George ni mkubwa kwa Deo. George alimaliza form four (1967, Mara SS) na kujiunga na mafunzo ya kuendesha ndege, kule Uganda, Soroti Flying School.Hivi Kuna Ndugu Mwingine Aliitwa George Mazula?? Naye alikuwa Rubani ATC?? Naomba Kufahamishwa Tafadhali
Hiyo link chini unapotosha umna havina uhusianoView attachment 2076364
Rubani wa Ndege iliyotekwa mwaka 1982 na vijana waliokuwa wakishinikiza Mwalimu Nyerere ajiuzulu, amefariki dunia.
Capt Deo Mazula alifariki tarehe 6 Januari 2022 na Kesho (Januari 11, 2022) anatarajiwa kuzikiwa jijini Arusha katika Makaburi ya Njiro.
Unaweza kusoma kuhusu kisa cha kutekwa kwa ndege hii, hapa Nini kilipelekea vijana wa Tanzania kuteka ndege ya ATC 1982 Mwanza?
Kama Bavicha wa leo
Mkuu Paskal, kuna mambo ya zamani ukiyakumbuka unabaki kufurah…enzi za “nenda kwa singasinga ndo utapata spare hii” huwa sisahau huu msemo maarufu wa mzee wangu hapo akinutuma kununua spare ya Bedford au Zepha 6!Walilikuwa ni mtu na kaka yake, na wote brand cars zao zilikuwa ni Volvo, enzi hiyo mawaziri gari zao zikiwa ni Pegeot 504 number zikiwa STC na STD!. Gari za polisi zilikuwa Landrover 109, na escort ya Nyerere ilikuwa Peogeot 404. Benzi yenyewe ya Nyerere naomba nisiseme, ila kulikuwa na mhindi tajiri kwa jina la Lord Rajipar, akaleta Benz kali kuliko ya Rais, S Class 500 miaka hiyo!. alitiwa ndani kwa uhujumu!.
Rip Capt. Mazula umetukumbusha mbali!.
P
Duu umenikumbusha benzi ya mzee Aikaeli Mbowe ikaja imeandikwa jina kila kifaaWalikuwa ni mtu na kaka yake, na wote brand cars zao zilikuwa ni Volvo, enzi hiyo mawaziri gari zao zikiwa ni Pegeot 504 number zikiwa STC na STD!. Gari za polisi zilikuwa Landrover 109, na escort ya Nyerere ilikuwa Peogeot 404. Benzi yenyewe ya Nyerere naomba nisiseme, ila kulikuwa na mhindi tajiri kwa jina la Lord Rajipar, akaleta Benz kali kuliko ya Rais, S Class 500 miaka hiyo!. alitiwa ndani kwa uhujumu!.
Rip Capt. Mazula umetukumbusha mbali!.
P