Pimbi wewe hujui loloteHili sio bunge bali ni rubber stamp ya mkuu wa nchi.
Kwani Ayubu Ndugai kama mkuu wa mhimili wa Bunge alifanya kosa gani kupinga mikopo ya hovyo iliyojaa ufisadi?
Tulitarajia bunge Makini liseme ukweli kuwa kukopa hovyo na huku serikali ikikusanya kodi na tozo kamdamizi lukuki ni upuuzi.
Tulitarajia Bunge kama msimamizi wa serikali limpinge rais.
Lakini hili sio bunge ni rubber stamp ya rais.
Leo wanaenda kupiga mhuri na kupitisha ufisadi uliowazi kabisa.
Sawa waliwekwa na mzalendoWabunge wametusaliti.
Who is Ndugai katika nchi hii?. Utakufa kwa presha bila sababu.Hili sio bunge bali ni rubber stamp ya mkuu wa nchi.
Kwani Ayubu Ndugai kama mkuu wa mhimili wa Bunge alifanya kosa gani kupinga mikopo ya hovyo iliyojaa ufisadi?
Tulitarajia bunge Makini liseme ukweli kuwa kukopa hovyo na huku serikali ikikusanya kodi na tozo kamdamizi lukuki ni upuuzi.
Tulitarajia Bunge kama msimamizi wa serikali limpinge rais.
Lakini hili sio bunge ni rubber stamp ya rais.
Leo wanaenda kupiga mhuri na kupitisha ufisadi uliowazi kabisa.
andamaneni simlisema mtakinukisha leo. mbwa nyie ndoo mnaotuchelewesha maendeleoWabunge wametusaliti.
Kichwa chako kimejaa uharo.andamaneni simlisema mtakinukisha leo. mbwa nyie ndoo mnaotuchelewesha maendeleo
Isijekuwa 'pimbi' ni wewe usiyekuwa na hoja.Pimbi wewe hujui lolote
Huku ni kulidhalilisha Bunge!.Hili sio bunge bali ni rubber stamp ya mkuu wa nchi.
Hakuna kosa lolote kwa Mtanzania yeyotekutoa maoni yake kuhusu jambo lolote. Baada ya Ayubu kutoa maoni yake, alipaswa kusimama na msimamo wake.Kwani Ayubu Ndugai kama mkuu wa mhimili wa Bunge alifanya kosa gani kupinga mikopo ya hovyo iliyojaa ufisadi?
Si mlitaka bunge la chama kimoja ama vpWabunge wametusaliti.
Hapa lazima tupigweHili sio bunge bali ni rubber stamp ya mkuu wa nchi.
Kwani Ayubu Ndugai kama mkuu wa mhimili wa Bunge alifanya kosa gani kupinga mikopo ya hovyo iliyojaa ufisadi?
Tulitarajia bunge Makini liseme ukweli kuwa kukopa hovyo na huku serikali ikikusanya kodi na tozo kamdamizi lukuki ni upuuzi.
Tulitarajia Bunge kama msimamizi wa serikali limpinge rais.
Lakini hili sio bunge ni rubber stamp ya rais.
Leo wanaenda kupiga mhuri na kupitisha ufisadi uliowazi kabisa.
viongozi mnaishi kwa hofu sana.. Samia mwenyewe alireact vibaya kauli ile ya ndugai hali iliyopelekea ndugai kuomba msamahaHuku ni kulidhalilisha Bunge!.
Hakuna kosa lolote kwa Mtanzania yeyotekutoa maoni yake kuhusu jambo lolote. Baada ya Ayubu kutoa maoni yake, alipaswa kusimama na msimamo wake.
Kosa lake ni kuja kuomba msamaha batili kwa kuomba kusamehewa jambo ambalo sio kosa!.
Ayubu alijiuzulu mwenyewe!.
P
We mpuuzi tu hujui lolote!! Uingereza bandari zinazoendeshwa na private sector zimeuzwa?Hili sio bunge bali ni rubber stamp ya mkuu wa nchi.
Kwani Ayubu Ndugai kama mkuu wa mhimili wa Bunge alifanya kosa gani kupinga mikopo ya hovyo iliyojaa ufisadi?
Tulitarajia bunge Makini liseme ukweli kuwa kukopa hovyo na huku serikali ikikusanya kodi na tozo kamdamizi lukuki ni upuuzi.
Tulitarajia Bunge kama msimamizi wa serikali limpinge rais.
Lakini hili sio bunge ni rubber stamp ya rais.
Leo wanaenda kupiga mhuri na kupitisha ufisadi uliowazi kabisa.
Niliwahi kutoa psychoanalysis ya waomba msamaha Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for Integrity nikasema ni lijitu lijinga tuu ndio litaomba msamaha bila kosa lolote.viongozi mnaishi kwa hofu sana.. Samia mwenyewe alireact vibaya kauli ile ya ndugai hali iliyopelekea ndugai kuomba msamaha