Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Wabunge wametusaliti.
Tumejisaliti for a very long time, tunarusisha wabunge wale wale, sera zile zile, cha kile kile halaf tuna hope mabadiliko kiutendaji? Hell no
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabunge wametusaliti.
Acha uzwazwa wewe pimbi. Ayubu hakujiuzulu mwenyeweHuku ni kulidhalilisha Bunge!.
Hakuna kosa lolote kwa Mtanzania yeyotekutoa maoni yake kuhusu jambo lolote. Baada ya Ayubu kutoa maoni yake, alipaswa kusimama na msimamo wake.
Kosa lake ni kuja kuomba msamaha batili kwa kuomba kusamehewa jambo ambalo sio kosa!.
Ayubu alijiuzulu mwenyewe!.
P
Hata kama una akili fupi kama ile pingili ya mwisho!, huwezi kumjibu mtu bila kumtukana zwazwa, pimbi?!.Acha uzwazwa wewe pimbi. Ayubu hakujiuzulu mwenyewe
Hivi Pascal Mayalla unajisikiaje kusapoti upumbavu wa namna hii? Does it make sense to you?Hata kama una akili fupi kama ile pingili ya mwisho!, huwezi kumjibu mtu bila kumtukana zwazwa, pimbi!.
Ayubu ni Mkuu wa mhimili, kama ni kweli jakujiudhuru bali alijiudhurishwa, then huyu alikuwa Mkuu wa mhimili zwazwa!.
Pimbi wewe!.
P
Mimi ni realist Watanzania tujifunze kukubali kuna vitu hatuwezi, tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie? ma realist tunaukubali ukweli hata kama ni mchungu kiasi gani!.Hivi Pascal Mayalla unajisikiaje kusapoti upumbavu wa namna hii? Does it make sense to you?
Hivi zimo kichwani? Kwa nini msinunie hizo cranes na kupata utalaamu maana ni bil 400 tu?Mimi ni realist Watanzania tujifunze kukubali kuna vitu hatuwezi, tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie? ma realist tunaukubali ukweli hata kama ni mchungu kiasi gani!.
P
hata kuuliza mtu kama zimo ni kumtukana!. Mtu anayedhani matatizo ya Bandari yetu ni crane tuu ya billioni 400, huyo ni hazimo!Hivi zimo kichwani? Kwa nini msinunie hizo cranes na kupata utalaamu maana ni bil 400 tu?
Kwani kama tunahitaji kuongeza ufanisi nini kinahitajika kama sio kuwekeza kwenye miundo mbinu, utaalaamu na usimamizi.hata kuuliza mtu kama zimo ni kumtukana!. Mtu anayedhani matatizo ya Bandari yetu ni crane tuu ya billioni 400, huyo ni hazimo!
P
Uchaguzi ujao mzalendo aliyewaweka hayupo kila mtu atajitetea kwa juhudi zake na siyo kubebwaSawa waliwekwa na mzalendo
Hakuna binadamu atakayepuuza hisani akabaki salama. Wabunge wengi zaidi ya 90% wameingia bungeni Kwa mbeleko. Wakiulizwa wameingiaje hata wao hawajui wanaona wapo pale kama hisani toka Kwa aliyewapitisha. Mbunge aliyepambana kupata ridhaa ya Wananchi hawezi kuridhia huo uhuni wa Jana. Kwanza Mbunge gani asimame atuambie alichofanya Jana alitumwa na Wananchi wa Jimbo lake!! Asimame mmoja tumuone.Hili sio bunge bali ni rubber stamp ya mkuu wa nchi.
Kwani Ayubu Ndugai kama mkuu wa mhimili wa Bunge alifanya kosa gani kupinga mikopo ya hovyo iliyojaa ufisadi?
Tulitarajia bunge Makini liseme ukweli kuwa kukopa hovyo na huku serikali ikikusanya kodi na tozo kamdamizi lukuki ni upuuzi.
Tulitarajia Bunge kama msimamizi wa serikali limpinge rais.
Lakini hili sio bunge ni rubber stamp ya rais.
Leo wanaenda kupiga mhuri na kupitisha ufisadi uliowazi kabisa.
Ongeza na rushwa. Mtu yule alituchukulia powa sanaUchaguzi ujao mzalendo aliyewaweka hayupo kila mtu atajitetea kwa juhudi zake na siyo kubebwa
Huyu kuondolewa ni sahihi kbs ✔️ maan ule mpango wao wa Atake asitake tutaa... Muongezeaaaa!! Ulikua mchafu kbs na huo ndio ukwerii.👇👇👇 Mpango ovu kbs.Kwani Ayubu Ndugai kama mkuu wa mhimili wa Bunge alifanya kosa gani kupinga mikopo ya hovyo iliyojaa ufisadi?