Ruby! sifa zimemponza

Ruby! sifa zimemponza

Kwaumbo la mvuto sawa ila sura mmm kwaupande wangu nashindwa hata kukisia umri wake naona kama kamekomaahivi!
 
Mimi huwa nafikiria kama mimi ndio ningekuwa Ruge au mtu yoyote angekuwa Ruge tena mwanaume kamili kweli angekubali kuwatengenezea watu mkwanja na yeye asilambe hata kdogo, au watu waendeshe magari na yeye atembee kwa mguu, awatengenezee majina mabinti tusiowajua hadi kujilikana Tanzania nzima asile hata papuchi za hawa mabinti zikiwa za moto ziliwe na viongozi, mapedeshee na wauza sura wa mjini pekee...Nikifikiria haya mambo huwa simlaumu Ruge nafikiri anapaswa kupongezwa kwa kuiona fursa na kuyafanya maisha yake yawe rahisi mno.
Redio inampa pesa nyingi tu
Kwanin asiwape hawa mabinti stahiki zao
Kwanin awanyonye
 
Mkuu wewe unaona Hana mvuto lakini wengine wanamwelewa hii ni moja ya picha yake akiwa kwenye vazi la ufukweni!
1151569e26aec417dd72ed67045e0cd6.jpg
 
Back
Top Bottom