Rufaa dhidi ya African Lyon: Yanga kupewa alama zake 3 walizocheza dhidi ya African Lyon?

Sasa Mkuu umeona wapi Duniani adhabu kwa kosa la Muamuzi linaathiri matokeo ya Uwanjani.....


Hivi kwa mfano kwenye mechi ile, baada ya Tambwe kufunga lile bao na muamuzi kuita kati. Mlitarajia TFF wafute matokeayya mchezo wa ligi kweli?


Sasa kama huo ndio utaratibu.... Inamaana kila mechi ya LigiKuu Tanzania bara itakuwa inarudiwa kwa sababu waamuzi wamekosea kuzichezesha. Kwa sababu hakuna mechi ya Ligi kuu inaisha bila Muamuzi kukosea.

Sasa kila mtu akigaka mechi yake irudiwe kweli itakuwa Ligi au Kituko..... (Kwa sababu vpl ndio Itakuwa ligi ya kwanza Ulimwenguni kuwa na kanuni ya namna hiyo).

Tuache unafiki kwanza, then tucheze mpira.
 
kwa kungwi kukiliwa na kwa somo kuliwe
Kumbe mnajua. Ilanajitiaga ukichaa tu.

Mlitaka alama za Yanga SC ziliwe kupitia Kessy, ila hamtaki Yanga SC ile kupitia kwingine.... [emoji23]

Sheria ni msumeno! Lazima ikate pale panapostahili.
Na sio pale uonapo panastahili.
 
Ngoja na mnyama naye auwashe moto wa Kessy kisha tuone wao watapokwa point ngapi.
 
Kumbe mnajua. Ilanajitiaga ukichaa tu.

Mlitaka alama za Yanga SC ziliwe kupitia Kessy, ila hamtaki Yanga SC ile kupitia kwingine.... [emoji23]

Sheria ni msumeno! Lazima ikate pale panapostahili.
Na sio pale uonapo panastahili.
Venance Ludovick amesimamishwa kucheza VPL mpaka suala lake litakapokamilika kusikilizwa, mpaka sasa imebainika ni kweli ana leseni mbili zilizotolewa na TFF ambazo ni za kuchezea Mbao na African lyon, kwenye usajili wa mtandao TMS jina la Ludovick kule Mbao linasomeka Ludovick lakini African Lyon linasomeka Ludovic huku herufi K ikiwa imeondolewa, imeagizwa katika kikao kijacho wote kwa maana ya Mbao Fc ,African Lyon pamoja na mchezaji wafike na vielelezo vyao vyote ili wafikie tamati, suala la African Lyon kupokwa point halitakuwepo kwa kua mpaka mchezaji anacheza tayali alipewa leseni na mmlaka halali TFF hivyo kosa linakua kwa TFF kumpa mtu leseni bila ya kikao cha kamati ya sheria na hadhi za wachezaji kukaa means atakayeadhibiwa ni officer wa TFF aliyetoa leseni
 
Ngoja na mnyama naye auwashe moto wa Kessy kisha tuone wao watapokwa point ngapi.
Suala la Madai yenu halina "Mashiko" ndio maana lina hang hang tu sasa hivi.

Hata viongozi wenu hawajui la kufanya.

Kila kitu kimestack kuhusu hiyo kesi henu. Mmefikia wapi kuelekea FIFA?
 
Suala la Madai yenu halina "Mashiko" ndio maana lina hang hang tu sasa hivi.

Hata viongozi wenu hawajui la kufanya.

Kila kitu kimestack kuhusu hiyo kesi henu. Mmefikia wapi kuelekea FIFA?
Fifa? Sasa hivi wanadai ml 50 wapunguze madeni ya tra
 
Tatizo ni mchezaji kuchezeshwa au mchezaji kuwafunga ndala fc?
Mchezaji yeyote wa Kitanzania kuifunga Yanga SC, it's like a dream come true!

Ndio maana Kichula alipofunga bao kwenye Derby alimwaga Machoni mithili ya mvua ya mawe.

Hiyo yote ni furaha.

Inatokana na ukubwa na jina la Klabu. Nikuulize wewe sasa hivi.... Hivi utajisiliaje ukipata nafasi ya kufunga dhidi ya Real Madrid...? Utajisikia sawa na kupata nafasi ya kuifungia timu yako bao dhidi ya Queen's Park Ranger FC?

Jibu kaa nalo.!
 
Hatuja sema tunataka alama za bure ili tuchukue Ubingwa.

Ubingwa ni lazima hata bila alama hizo.
 
Naam naona kama kuna "mabingwa" wa kihistoria hebu nielewesheni huo ubingwa unapatikanaje?
Ni rahisi sana Mkuu!

Bingwa hupatikana kila baada ya ukamilisho wa mechi takriban 30 za vilabu 16.

Yule aliye maliza akiwa angani ndiye hutawazwa bingwa.

Hapo kwenye neno 'Mabingwa' huenda nikawa nimekosea... si unajua lugha yetu hij ya kiswahili..

Wachache sana wanayoiweza, (kama nyinyi) ila sisi wengine ni watumiaji tu.
 
Hiyo kamati isisahau na magoli ya mkono ya yanga dhidi ya timu zingine.
 

Hata lile goli Lao tata kipa kasukumwa na mshambuliaji wa Simba eti wanaamini refa aliona kipa anapoteza muda
 
Vepeee kikao cha mezani cha point 3 ...nasikia majibu tayari...[emoji23][emoji23]
 
Tuongee tu ukwel wa mungu ni kwamba ukiona timu imeanza kulalamika lalamika na kuanza kuomba point za mezani bas ujue mambo yako tight.

Cmba safar hii ni ubingwa tu labda dunia ipasuke.
Baelezee baelezeee
maamuz ya kamat.yashatoka na hakuna cha point 3 wala three points [emoji23][emoji23]
 
Mchezo uwanjani mezani nini,siyo siasa hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…