Ukiona timu inakimbilia rufaa ujue mpira umewashinda. .
Hivi unajua hata unachokiandika?Soma sentensi yako ya mwisho. I rest my case.Hahahaha Mkuu!
Naona joto la uwogo limeshaanza kukuvaa baada ya kusoma hii taarifa.
Sasa nani mpira unamshindwa kati yenu Nyinyi mlioomba alama zote za Yanga SC alizomchezesha Kessy zipokonywe.?
au
Sisi tunaotaka alama 3 zitokanazo na kuchezeshwa mchezaji asiyestahili kucheza mechi akiiwakilisha klabu yake?
. TFF na hiyo timu yao wanatafuta kila njia watu washinde kwa pointi za mezani. Na hii sio mara ya kwanza walipotunguliwa na Stendi United walikata rufaa sijui iliishia wapi.Hiyo kamati ya masaa 72 huwa inakutana haraka kuamua kama suala lina maslahi na Yanga. Ndanda waliikatia rufaa Mbeya City mzunguko wa kwanza wa ligi kamati bado haijakaa.
Nakubaliana nawewe mkuu vyvyte vile points 3 za kikanuni muhimu, iwe za uwanja au mezaniMkuu moniccca :
Sisi si wale ambao kila kukicha hawaamini ushindi wa aina yeyote ule wa mpinzani wao.
Sisi tunaheshimu ushindi wa mpinzani yetu yeyote yule ili mradi ushindi umepatikana ambapo kanuni na sheria za kuongoza ligi yetu zimefuatwa!
Ndio maana hatukuwa na shida pale Ndanda FC na Mbeya City walipo pata ushindi wao kwa mara ya kwanza kabisa dhidi ya Mabingwa wa kihistoria wa LigiKuu Tanzania bara.
Mkumbushe pia hajamalizana na mbao, prison na totoMechi hiyo sio ya mwisho!
Kizuri ni kwamba haujamalizana na Azam FC na haujamalizana na '' Mabingwa watetezi na wa kihistoria wa LigiKuu Tanzania bara".
Kwa hivyo endelea kujipa matumaini na faraja ila ndani ya nafsi yako naona moto wa kifuu ukiendelea kushika kasi... [emoji23]
. Tunataka ushindi wa uwanjani ukitaka wa mezani kachezeni table tennis.
Kupigwa faini kisheria umefanya kosa na yote yaliyofanyika ni batili.La Kessy limekwisha hukumiwa!
Wameambiwa wafuate 50,000/= zao.
Tatizo paka hawajui kanuni ndiyo maana kelele haziishi
Hapo chacha!
Ulipoenda TFF na rage wenu kudai "Mabingwa watetez"i wapokonywe alama zote za mechi walizomchezesha Kessy ili update Ubingwa kirahisi ,hapo hamkusema mnataka Ubingwa wa mezani
Ila yanga Kudai kukata rufaa ili wapate alama wanazoona wana stahili kutokana na uvunjwaji wa kanuni, unasema tunataka alama za Mezani.
Ile kauli ya rage inanijia masikioni niandikapo maneno haya.
1.TFF na kamati zao itabidi wapindishe sheria kwani uwanjani fadhila hamna .
2. maana marefa hawatoi penalti kwa timu fulani kama ilivyokuwa ada msimu uliopita.
Ruka urukavyo mkuu simba bingwa msimu huu.Tusubiri maamuzi ya kamati husika.
Sheria na kanuni vichukue mkondo wake.
Mwisho was msimu kila team itakaa kwenye nafasi yake stahiki! Stahiki!
Mkuu usitokwe na povu kiasi hiko!Mtakunya nyie hapo...
eti nafas za watu...nafas za watu kwamba mlichanjiwa na mganga wenu pmbv sana