Rufaa dhidi ya African Lyon: Yanga kupewa alama zake 3 walizocheza dhidi ya African Lyon?

Ukiona timu inakimbilia rufaa ujue mpira umewashinda. .

Hahahaha Mkuu!

Naona joto la uwogo limeshaanza kukuvaa baada ya kusoma hii taarifa.

Sasa nani mpira unamshindwa kati yenu Nyinyi mlioomba alama zote za Yanga SC alizomchezesha Kessy zipokonywe.?

au

Sisi tunaotaka alama 3 zitokanazo na kuchezeshwa mchezaji asiyestahili kucheza mechi akiiwakilisha klabu yake?
 
Hivi unajua hata unachokiandika?Soma sentensi yako ya mwisho. I rest my case.
 

Mkuu sasa mbona kama hieleweki!

Kwa hivyo ulitaka karatasi za matokeo ya rufaa za Mbeya City wakupetee wewe nyumbani ili usome?
 
Unajua kusoma kweli isije kuwa nabishana na mental case.Aliyekata rufaa ni Ndanda. Naona hujui hata una comment nini.
 
Nakubaliana nawewe mkuu vyvyte vile points 3 za kikanuni muhimu, iwe za uwanja au mezani
 
Mkumbushe pia hajamalizana na mbao, prison na toto
 
. Tunataka ushindi wa uwanjani ukitaka wa mezani kachezeni table tennis.

Hapo chacha!

Ulipoenda TFF na rage wenu kudai "Mabingwa watetez"i wapokonywe alama zote za mechi walizomchezesha Kessy ili update Ubingwa kirahisi ,hapo hamkusema mnataka Ubingwa wa mezani

Ila yanga Kudai kukata rufaa ili wapate alama wanazoona wana stahili kutokana na uvunjwaji wa kanuni, unasema tunataka alama za Mezani.

Ile kauli ya rage inanijia masikioni niandikapo maneno haya.
 
Na kweli nimepata ushahidi nilichokuwa nadhani. Unasikia sauti ukitembea?Hii ni dalili mojawapo ya _______.
 
La Kessy limekwisha hukumiwa!

Wameambiwa wafuate 50,000/= zao.
Kupigwa faini kisheria umefanya kosa na yote yaliyofanyika ni batili.

Kwahiyo kama issue ya Kessy Yanga alipigwa faini bila ya kupokwa points basi hakuna mantiki yoyote ya African Lyon kupokwa maana kesi ya msingi ni suala la usajili.

Kessy alienda Yanga kinyume cha sheria na akacheza,pia Ludovic alienda Lyon kinyume cha sheria na akacheza.

Sasa,kama Yanga alipigwa faini bila ya kupokwa points sioni Lyon akipokwa points sanasana atalipa faini.

Yanga mmeshikwa pabaya.
 
Tatizo paka hawajui kanuni ndiyo maana kelele haziishi
 
1.TFF na kamati zao itabidi wapindishe sheria kwani uwanjani fadhila hamna .

2. maana marefa hawatoi penalti kwa timu fulani kama ilivyokuwa ada msimu uliopita.

Mapambio ya nyimbo zenu hizo ,pale muonapo hamna pa kujish'kiza.

Naamini mtayaimba sana ,baada ya msimu huu kuisha.
[emoji23]
 
Mkumbushe pia hajamalizana na mbao, prison na toto
Mkuu!

Hawa huwa wanajitoaga sana ufahamu. Hapo bado hawajatia mguu Manungu kule Morogoro .....kuwavaa Mtibwa sugar.
[emoji23]
 
Tuongee tu ukwel wa mungu ni kwamba ukiona timu imeanza kulalamika lalamika na kuanza kuomba point za mezani bas ujue mambo yako tight.

Cmba safar hii ni ubingwa tu labda dunia ipasuke.
 
Tusubiri maamuzi ya kamati husika.

Sheria na kanuni vichukue mkondo wake.

Mwisho was msimu kila team itakaa kwenye nafasi yake stahiki! Stahiki!
 
Tusubiri maamuzi ya kamati husika.

Sheria na kanuni vichukue mkondo wake.

Mwisho was msimu kila team itakaa kwenye nafasi yake stahiki! Stahiki!
Ruka urukavyo mkuu simba bingwa msimu huu.

Hakuna ujinga cc ni ubingwa tu.
 
Mtakunya nyie hapo...
eti nafas za watu...nafas za watu kwamba mlichanjiwa na mganga wenu pmbv sana
Mkuu usitokwe na povu kiasi hiko!

Weka akiba ya Mapovu, maana mapovu mengine yatahitajika hapo baadae.

Naona unabisha kuwa hiyo sio nafasi ya "Mabingwa wa kihistoria wa LigiKuu Tanzania Bara"

Tuambie Mara y'all mwisho wewe kumaliza Ligi ukiwa hapo ilikuwa mwaka gani?

Tutajie mwaka tu!

Mwaka yaani. [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…