Figisu zipi hizo?Acheni figisufigisu chezeni mpira mnyama mbele kwa mbel[emoji12] [emoji12]
Kwa hivyo unamaanisha hata kama kanuni haisemi A basi Kamati inamue kusema B kwakuwa bila hivyo Kamati itaonekana inapendelea mtu fulani!!!!!?Kwa wenzetu mata nyingi utasikia kupigwa faini timu au wachezaji na hata marefa lakini wanajitahidi sana kuwa matokeo ya uwanjani yasiguswe na mtu!
Mbona hata mwaka jana mlikuwa mabingwa kabla viporo havijaliwa. Tumeishazoea mkuu.Ruka urukavyo mkuu simba bingwa msimu huu.
Hakuna ujinga cc ni ubingwa tu.
Wao wanataka kuona Kanuni za ligi zikiwanufaisha wao tu.Yanga imeshawahi kukatwa points 3 mechi na Coastal union sababu ilimchezesha canavaro akiwa na kadi tatu za njano.. Wakatwe tu
Uwezi ukaelewa, ili hali una Mahaba na upande wako!Unajua kusoma kweli isije kuwa nabishana na mental case.Aliyekata rufaa ni Ndanda. Naona hujui hata una comment nini.
Kumbuka KESSY AMEANZA KUCHEZA HUKU MKATABA UKIWA UMEISHA.Kupigwa faini kisheria umefanya kosa na yote yaliyofanyika ni batili.
Kwahiyo kama issue ya Kessy Yanga alipigwa faini bila ya kupokwa points basi hakuna mantiki yoyote ya African Lyon kupokwa maana kesi ya msingi ni suala la usajili.
Kessy alienda Yanga kinyume cha sheria na akacheza,pia Ludovic alienda Lyon kinyume cha sheria na akacheza.
Sasa,kama Yanga alipigwa faini bila ya kupokwa points sioni Lyon akipokwa points sanasana atalipa faini.
Yanga mmeshikwa pabaya.
Tatizo paka hawajui kanuni ndiyo maana kelele haziishi
Unajua tafsiri ya neno "kucheza" kisheria?Kumbuka AEANZA KUCHEZA HUKU MKATABA UKIWA UMEISHA.
Kipindi unalalamika Yanga SC ipokonywe alama zote alizomchezesha Kessy.... Haikuwa kulalamika na kutaka Ubingwa wa mezani bila kupata ushindani?Tuongee tu ukwel wa mungu ni kwamba ukiona timu imeanza kulalamika lalamika na kuanza kuomba point za mezani bas ujue mambo yako tight.
Cmba safar hii ni ubingwa tu labda dunia ipasuke.
Wanajisahaulisha kwa kusubiri embe kwenye mnaziNaam!
Nafasi yao stahiki. Nimekuelewa.
Basi kanuni zinazotoa point za mezani zifutwe. Acha kuongea kwa mhemko, zungumza kikanuni. Soka linaongozwa na kanuniNi vizuri kupata ufafanuzi pale taratibu zinapokiukwa,lakini haitasaidia lolote ikiwa utaratibu huo unaongozwa na mhemuko wakuongeza points. Tuache matokeo ya uwanjani yaamue na sio mezani.
Mkuu, shaka ondoa. Yanga bingwa tena. Sina hata wasiwasi![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]