Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Asante... naona unaanza kusalimu amri taratibu kuwa Mnyama mkali pengine kuliko wote mwituni anabeba ndoo na bado utanyooka tu mpaka umalize madeniNadhani TFF watakuwa hawako tayari kuwaachia yanga kombe liwe lao moja kwa moja msimu huu. Maana wataingia gharama ya kulitengeneza lingine, hivyo shilingi imegeukia upande wa pili. Msimu wa simba kudondokewa na mazari na yanga ni msimu wao wa kukomaa uwanjani hawatopata favour au mistakes yoyote ile kurahisisha matokeo ya ndani ya uwanja.
Vyura FC wee..!