Rufaa ya Yanga dhidi ya Mamelodi, majibu yanapaswa kutoka lini?

Rufaa ya Yanga dhidi ya Mamelodi, majibu yanapaswa kutoka lini?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Habari Wadau,

Naomba kujua rufaa waliyokata Yanga dhidi ya Mamelodi kuhusiana na maamuzi ya Mwamuzi kukataa goli la Azizi K kwenye mechi ya robo fainali mkondo wa pili huko Afrika Kusini kati ya Yanda na Mamelodi, majibu yake yanapaswa kutolewa lini kwa mujibu wa sheria na kanuni za CAF?

Japo hakuna kitachobadilika, ila ni muhimu haki itendeke ili historia iandikwe kwa usahihi na si vinginevyo.
 
Yatatoka muda wowote na mechi itarudiwa upya.....😂😂😂
 
Habari Wadau,

Naomba kujua rufaa waliyokata Yanga dhidi ya Mamelodi kuhusiana na maamuzi ya Mwamuzi kukataa goli la Azizi K kwenye mechi ya robo fainali mkondo wa pili huko Afrika Kusini kati ya Yanda na Mamelodi, majibu yake yanapaswa kutolewa lini kwa mujibu wa sheria na kanuni za CAF?

Japo hakuna kitachobadilika, ila ni muhimu haki itendeke ili historia iandikwe kwa usahihi na si vinginevyo.
Yanga hawakukata rufaa bali waliwasilisha malalamiko yao. Malalamiko na rufaa ni vitu viwili tofauti.
 
Sawa, hayo malalamiko hayapaswi kujibiwa?
Yanaweza kujibiwa kama yalikuwa na maswali ila kama yalikuwa ni malalamiko tu yasiyokuwa na maswali ndani yake, basi majibu siyo ya lazima mradi malalamiko hayo yamefika.
 
Back
Top Bottom