Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo unakuta wamepewa pombe na elf 5 5kugalagala kote na kura za hapana zipoo hapo😂😂
😂😂Hapo unakuta wamepewa pombe na elf 5 5
Hao ni wajinga haswa, yaani wamejaa shida tupuKuna mambo matatu yananiumiza
1. Ni masikini Hawa
2. Ni mama zangu Hawa
3. Hawajui wanacho kifanya hapo
Sure, watu kama hao wanawaza kula pekee hawana kingine kichwani mwaoUmasikini ni laana
Nakubaliana na weweKama ni mke wangu huyo atakuta vitu vyake vyote nje harafu heri abebe aende Kwa nchengerwa ila akithubutu kuongea LOLOTE atasababisha mengine
Inaumiza sana wanawaza kula na kuzalianaSure, watu kama hao wanawaza kula pekee hawana kingine kichwani mwao
CCM imejikita sehemu zenye wajinga wengi haswaInaumiza sana wanawaza kula na kuzaliana
Kwetu Israel hatuna mawazo ya kijinga jingaCCM imejikita sehemu zenye wajinga wengi haswa
Pipa na mfunikoMtu na mama mkwe wake akili zao wote zina walakini
Umaskini wa akili ni hatari kwelikweli. Wanaendeleza alipoishia mhagama.Hivi ndivyo Mbunge Mohamed Mchengerwa ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI alivyopokelewa jimboni Rufiji, Ikwiriri na akina Mama kwa kugalagala.
Soma Pia:
- Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake
- Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025