Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
TAZARA imesema imenunua behewa lenye uwezo wa kubeba tani 200 litakalotumika kubeba mizigo ya bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere iliyozidi uzito au upana wake unazidi kiwango cha upana unaopaswa kusafirishwa kwa barabara.
Msemaji wa TAZARA amesema behewa hilo limenunuliwa kwa dola za kimarekani milioni moja na litatumika kubeba mitambo kama mota za kuzalishia umeme(Turbine) kutoka Dar mpaka stesheni ya Fuga.
Tangu mradi wa Mwalimu Nyerere umeanza, TAZARA imeshabeba tani 700,000 kwenda Fuga.
Zaidi, Jisomee HAPA
Msemaji wa TAZARA amesema behewa hilo limenunuliwa kwa dola za kimarekani milioni moja na litatumika kubeba mitambo kama mota za kuzalishia umeme(Turbine) kutoka Dar mpaka stesheni ya Fuga.
Tangu mradi wa Mwalimu Nyerere umeanza, TAZARA imeshabeba tani 700,000 kwenda Fuga.
Zaidi, Jisomee HAPA