Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
inawezekana huyo Alaine ni msanii mkubwa lakini sio maarufu hapa bongo. mwenye nyimbo zake atuuploadie na sie tusiomfahamu tumsikie.
listen to sacrifice, take all my love.... utamtaka.hasa zile ngoma zake za bye bye, we raise again, jah is so good na jehovah hizi ngoma ni balaa!!!!!!!!!!!!!
Ikiwa imebaki siku chache kufanyika tamasha kongwe la Fiesta,kumetokea kuzorota na kukosa msisimko kabisa kwa tamasha ili tofauti na miaka ya nyuma..ni kana kwamba Ruge mwaka huu ategemee maumivu makali sana kwa uchache wa maudhurio.
Hali hii sijui imetokana na nini,ni kukosa jipya(ubunifu)? wananchi kukinai? au tukio la Eatv kuwa pre empty kwa kutangaza vizuri show ya Psquaire.?
Labda kukosekana kwa msanii wa kimataifa wa kueleweka,maana wasanii toka nje wa safari hii ni utumbo mtupu sijui Davido,Jmartins, Allein yani ni bora wangemaimamisha Diamond kuwa main perfomer,pengine hii nayo imechangia.
Ila kwa kifupi Ruge na fiesta mwaka huu wamefulia mpaka noma sanaa!!
Tunasubiria Show ya Psquaire.
Hapa kila mtu anaongea kwa mapenzi yake binafsi. Ukweli unabaki palepale Alaine ni msanii mkubwa na huwezii ukamweka level sawa na Domo na Nature. Hata mm Nature na Domo nawakubali sana, Swala la kushangiliwa jukwaani sio inshu. Kwa sisi mashabiki wa Riddim Alaine tunampa Respect kubwa. Alafu tambueni Tanzania kimziki tupo nyuma. Hata siku wakiletwa Morgan Heritage wataonekana wa kawaida 7bu watu wengi sio wafuatiliaji wa Ridimms mbalimbali. Hivyo kosa la Clouds ni kuleta msanii ambaye mziki anaofanya haushabikiwi sana nchini Tanzania.
10/10...na huwezi mshindanisha Alaine Laughton na Domo au Nature kwenye jukwaa la Fiesta Bongo...tuwatupe O2 Arena London, wote sio kwao, halafu tuone nani atamkalisha mwenzie. Ni sawa na kuhoji kama Domo au Nature wanaweza mkalisha Alaine kwenye jukwaa ndani ya Kingston Jamaica.
Morgan Heritage ni hadithi nyingine baba...angalia concert zao walizofanya Ulaya (UK, Sweden, Belgium, Finland etc..) ni balaa, huwa wanajaza viwanja vya mipira wale! Ni moja kati ya wanamuziki ambao concert zao ni ghali..
Unafiki huo
mala ngapi mnamponda humu na hata kumwita majina ya ajabu.
watanzania bana
huyu jamaa jina lake kamili ni rugemalila mutahaba au?
hivi we mara ngapi tukufundishe kuandika na kutofautisha -ra na -la???
ukweli ndo huo,hyo fiesta ishabuma mapema japo bdo event yenyewe haijafanyika.Kwa kuangalia tu,u can see the very big difference ya mwitikio wa mashabiki tofauti na fiesta zilizopita.Sio mpaka msubirie outcomes after event ndo mpate cha kuongea,mengine yanaonekana wazi wazi.
Mnaoenda,safari njema hiyo kesho!!!
Yaani huna tofauti mwanamke muuza papuchi
kuna watu wanahitaji maombezi ili wapone