Ruge achemsha: Fiesta yamdodea

Ruge achemsha: Fiesta yamdodea

Ikiwa imebaki siku chache kufanyika tamasha kongwe la Fiesta,kumetokea kuzorota na kukosa msisimko kabisa kwa tamasha ili tofauti na miaka ya nyuma..ni kana kwamba Ruge mwaka huu ategemee maumivu makali sana kwa uchache wa maudhurio.

Hali hii sijui imetokana na nini,ni kukosa jipya(ubunifu)? wananchi kukinai? au tukio la Eatv kuwa pre empty kwa kutangaza vizuri show ya Psquaire.?

Labda kukosekana kwa msanii wa kimataifa wa kueleweka,maana wasanii toka nje wa safari hii ni utumbo mtupu sijui Davido,Jmartins, Allein yani ni bora wangemaimamisha Diamond kuwa main perfomer,pengine hii nayo imechangia.

Ila kwa kifupi Ruge na fiesta mwaka huu wamefulia mpaka noma sanaa!!

Tunasubiria Show ya Psquaire.
Hamkuandaa maandalizi ya kumhujumu kweli? Hii habari iko sawia na kilichotokea, japo ilikuja mapema sana.
 
daah kwa nilichokiona jana usiku..!nimeani kweli fitna ni noumer
 
duuu watu mna midomo hatari sana.
 
Ruge inabidi ajue roy anamkimbiza kimyakimya kwani ile kili music tour na ujio wa p square umeidhoofisha fiesta na hata wasanii wamekuwa pande mbili. .juzi nilikuwa maisha club kule v.i.p akaja davido na company yake, kuthibitisha hakubaliki watu walimvalia kama hawamuoni na wasanii kibao hawakumjoin zaidi ya diamond na vimalaya vichafu ila wanyamwezi tulikuwa hatuna habari...next tym ruge alete mtu anayekubalika bongo si hawa wa kuungaunga
 
Ruge inabidi ajue roy anamkimbiza kimyakimya kwani ile kili music tour na ujio wa p square umeidhoofisha fiesta na hata wasanii wamekuwa pande mbili. .juzi nilikuwa maisha club kule v.i.p akaja davido na company yake, kuthibitisha hakubaliki watu walimvalia kama hawamuoni na wasanii kibao hawakumjoin zaidi ya diamond na vimalaya vichafu ila wanyamwezi tulikuwa hatuna
habari...next tym ruge alete mtu anayekubalika bongo si hawa wa kuungaunga

Mkuu Roy ni nani?
 
Clouds wameharibu image yao wenyewe.tulimwambia Kusaga aache siasa afanye burudani zilizomtoa.
Lakini pia ugomvi na wasanii usioisha.
 
Ruge inabidi ajue roy anamkimbiza kimyakimya kwani ile kili music tour na ujio wa p square umeidhoofisha fiesta na hata wasanii wamekuwa pande mbili. .juzi nilikuwa maisha club kule v.i.p akaja davido na company yake, kuthibitisha hakubaliki watu walimvalia kama hawamuoni na wasanii kibao hawakumjoin zaidi ya diamond na vimalaya vichafu ila wanyamwezi tulikuwa hatuna habari...next tym ruge alete mtu anayekubalika bongo si hawa wa kuungaunga

Mwendo wa kina east afrc kama hawako siriaz,,kumbe wamejipanga sana..Na wanasapoti na baraka kubwa sana toka kwa magwiji wa burudani mjini hapa..na kuna sura flani zimeingia pale ukiziona kama washamba flani ila wameibadilisha sana kambi ile culture ya ubitoz imepungua sasa wanabuni sana na wanazidi kujisogeza kwa raia kila kukicha...Ngojea advataiz wataionyesha November.
 
Sasa wewe umekuaje limedorola wakati haijafanyika?,pia umesema kukosekana msanii wa kimaraifa,sasa huyo p square si ni nigeria sawa na hawa akina davida na jmartin?,au umetumwa?,maana hueleweki ati unataka kusema nini hapa


ulisema mkuuu sishangai
 
Sasa wewe umekuaje limedorola wakati haijafanyika?,pia umesema kukosekana msanii wa kimaraifa,sasa huyo p square si ni nigeria sawa na hawa akina davida na jmartin?,au umetumwa?,maana hueleweki ati unataka kusema nini hapa

Bila shaka utakuwa hujui kabisa muziki na nguvu ya matamasha, umetumwa tu kujibu. Sasa Davido naye ndo wa kumfananisha na P Square? Huko ni kama kufananisha Bajaj na Scania.
 
Back
Top Bottom