Hivi Miss Natafuta!!!!Ahahaaa hapana Mkuu.
Wote waliooana walikulana?Hivi Miss Natafuta!!!!
Kijana tu, tena rafiki ya ndugu yako. Anaanzaje kukuomba ndoa jamani?
Tuambie ukweli... Hata kama alikula kwa bahati mbaya..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Pamoja na madhaifu yake ya kukosa masikio anatosa mtu? Mimi napenda wahenga wenzangu vijana siwawezi
Wakati gani unaongelea?Wote waliooana walikulana?
Sababu zipo nyingi ila ananijua vizuri pia anaijua familia yangu ni ya aina ganiWakati gani unaongelea?
Halafu kumbuka huyo ni Rafiki tu wa ndugu yako, ametoa wapi confidence zakutaka ndoa na Miss Natafuta?
Sasa huyo sindio mzuri wakuishi nae..!!!Sababu zipo nyingi ila ananijua vizuri pia anaijua familia yangu ni ya aina gani
Ahahaa wahenga hawajaisha bna .nitapata tuSasa huyo sindio mzuri wakuishi nae..!!!
Unataka kujiweka kwa ras?nimependa chat za Ras Jeff kapita na Miss Natafuta[emoji176] [emoji12]
Mi siishagi kuiangalia hiyo khanga moko na chura wake ndani[emoji39] [emoji39]Ruge kumbe muhenga hivi.hata simtaki tena
Usijali mkwe utaolewa...nitakuita kwenye usailiSijaolewa bado. Nitashukuru baba mkwe
jamaa sio kwa kuchapia huko "" kumbe huyo ruge Tayari nimzee"" kiasi hicho duuhh"" na hapo usikute kafnya Editting ya miaka Yke "" waweza kukuta ana 53
uzee sio laana,sote tunautafuta uzee,usiupende sana ujana haudumujamaa sio kwa kuchapia huko "" kumbe huyo ruge Tayari nimzee"" kiasi hicho duuhh"" na hapo usikute kafnya Editting ya miaka Yke "" waweza kukuta ana 53
unahubiri ??uzee sio laana,sote tunautafuta uzee,usiupende sana ujana haudumu
Mimba ungekua mwanamke kuna uwezekano ungepataNilitoka kwa tahadhari kwa maana ya kupunguza tamaa za mwili
lkn sikumpa mtu mimba kiasi cha kumdhalilisha mke wangu.
Wanaume bana ts weird mnoo unavogoma kumsamehe wkt na wewe ulimsaliti...mimba ungekua wa kike hata wewe ungeweza pata au ungeweza mpa mtu ni bht mbayaNever, tumeondoka na vidonda vyetu
mpaka leo sija recover najisahaulisha tu
Ni kweli bt u need to own ur part of the fall..ur absence ndo chanzo..uko huko unakaza mtu na we ukasaidiwa..haupo miaka mi4 ulitegemea nini?.Ku- cheat ni kosa kubwa sana, sembuse kupewa ujauzito
na kufanya attempt ya kutoa mimba ni kosa jingine
she really want to tek me for a fool.....
mambo mengine tunayaachaga tu yapite
leo nimefunguka yote humu but nashukuru hakuna anayejua ID yangu
kuchapiwa mke ni jambo la aibu kabisa....
We jamaa bana,umuache mke miaka minne,ulitegemea asipigwe mashine? aibu umeitaka mwenyewe,ungekuwa na akili wakati unaondoka ungemtia mimba atleast ungempunguzia kasi ya kutiwa nje...Ku- cheat ni kosa kubwa sana, sembuse kupewa ujauzito
na kufanya attempt ya kutoa mimba ni kosa jingine
she really want to tek me for a fool.....
mambo mengine tunayaachaga tu yapite
leo nimefunguka yote humu but nashukuru hakuna anayejua ID yangu
kuchapiwa mke ni jambo la aibu kabisa....