screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
we wawapi?IV kina Gerald hando na PJ wako wapi siku iz??? au nao ndo.............
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we wawapi?IV kina Gerald hando na PJ wako wapi siku iz??? au nao ndo.............
Jamaa wanatesa EFMIV kina Gerald hando na PJ wako wapi siku iz??? au nao ndo.............
aah...acha clouds wampokonye mzee wetu manake na yeye anapoteza watu tu...fetty alisha poteaga..likudaz..nae tayar...musa wa husein nae haelewek...DND nae mbelee. sa sipat picha millard ayo..kibonde....Bdozen wakiondokaJamaa wanatesa EFM
Mengi anamiliki Radio one, Capital radio, EA radio na Ruge anamiliki Clouds fm na Choice fm. Sasa watangazaji wengi wa Mengi wanakimbilia kwa Ruge.
Tuwaorodheshe; Milard Ayo, Sebastiani Maganga, Kennedy the remedy na juzikati tena amewanyakua Dj Sinyorita na Mamie babie. Hatujakaa sawa mara kawanyakua tena Hasan Masale na DJ Muba na sasa wapo Choice fm.
Mbona anamuandama sana baba wa watu jamani kwani hakuna redio zingine? Tusubiri kusikia Sam Misago nae kachukuliwa.
Kazi ipo hizi media..
akihamua. MhayaMzee ataki mabishano,akihamua
Atamchukua ruge na clouds nzima
swali zuri mkuu MapovuJambo la kujiuliza hao wote wameondoka je radio au Tv imetetereka?
Tena Haache kumfananisha Mengi na vitu vya ajabu ajabuUnaposema Ruge anamiliki Clouds na choice unakosea rudia kuandika upya acha kukurupuka, kitu kingine acha kumfananisha Mengi
Acha ushambaHao watangazaji mbona hawajulikani? Nilidhani ni kina Buhohela hivi
Asante kwa huu msumari wa moto kwa mleta uzi.Unaposema Ruge anamiliki Clouds na choice unakosea rudia kuandika upya acha kukurupuka, kitu kingine acha kumfananisha Mengi na vitu vya kipumbavu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] karbu mkuuAsante kwa huu msumari wa moto kwa mleta uzi.