Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Huko ndio patamu,ajibu vijembe vya mwezi wa kwanza Marope,jino kwa jinoRC Makonda amesema kwa sasa hatasema lolote juu ya rafiki yake kipenzi Ruge Mutahaba.
Makonda amesema Ruge ni mtu muadilifu, mchapakazi na jasiri hivyo anashindwa namna ya kumuelezea na anazidi kumuomba Mungu ampe kibali na kwa kuwa ataenda Bukoba kwenye mazishi basi kwa neema ya Mungu akipata kibali ataweza kumuelezea rafiki yake huyu.
Source Clouds tv!
Mbona zile za ndani kabisa studio hawakuzitoa?[emoji41][emoji41]View attachment 1036062
Aseeee[emoji134][emoji134][emoji134][emoji44][emoji44]....ila hii dunia
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂Labda urafiki wa chamani huko tutajuaje na wote magamba🙄😣Mungu hadhihakiwi jamani..!! Rafiki? Tena kipenzi? Mbona kama mnafanya watu wote wapuuzi? Ruge na Makonda walikuwa marafiki?
Bila shaka wewe imani yako ktk mambo ya dini ni dhaifu sana, yaani unataka kusema alichokua anafanya Ruge ni muhimu kuliko walichofanya mashekhe na maaskofu waliotangulia?Huyu Ruge,ukweli ndio mtu wa pili muhimu zaidi kuwahi kupotea baada ya Nyerere.
Kama unabisha taja wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani amekulilia wewe zuzu??Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ,Paul Makonda amemlilia Ruge machozi kama mtoto ndogo wakati wa shughuli ya kumuaga marehemu Katika ukumbi wa diamond Jubilee .Tukio hili limetokea muda mfupi uliopita ,takribani SAA moja iliyopita hivyo kuwashangaza watanzania, kwani bifu la makonda na Ruge linafahamika na kila mtu .Sasa buku kumlilia marehemu ambaye una uhusiano naye mbovu kimeshangaza sana .
[emoji16][emoji3][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]daahhhKwa nini ibambe ikishikwa na clouds hapo ndo unarudi Kwa Ruge tena ukimsifia
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio kusema wale watoto wote kawapata kwa njia zisizompendeza YEHOVA?
Nandy alikua mtu wa mwisho kutoka na Ruge anaejulikana wasiojulikana hatuwajuhiSio ukaribu sema hawara wa marehemu sababu kama sikosei dec 2017 Nandy na jamaa walienda holiday serengeti na Ngorongoro baada ya hapo Nandy akatoka sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
basi tumuombee sana kwani kama alizaliwa 1970 afu alizaa kwa mifumo isiyompendeza YESU anahitaji kutakaswa kwa maombi makuuHapana