Word
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 1,356
- 3,235
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani nimesound Kama nimemaind eeh? Sikasirishwagi na maneno Mimi.. Maneno hayauwi.. Mimi na wewe nani anaogopa kifo Zaid.. Halaf kifo nacho hakisemwi Sana kipo around tu. Nakumbuka kuna njia ya makaburi nilikuaga napita najisemea sijaja siku nyingi kumzika mtu hapa. Mwezi mmoja baadae mzee aliumwa wiki tu then tukamlaza hapo.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..easy mkuu...was kiddng mbona unaogopa hvyo na huku sote ni njia 1??[emoji23][emoji23][emoji23]mie siwez kuwa mchawi siku 1
Sent using Jamii Forums mobile app