Wasimu ndo nini? Wahaya ni zaidi milion 8 nchi hii .na hakuna report yoyote kuonesha dhahiri kuwa kabila hili linatoweka? Na mkoa WA kagera ni WA tatu Kwa idadi ya watu baada ya dar na mwanza.na death yake iko chini sasa nakushangaa unaposema wanakufa sanaWeweeeeee! una wasimu. lazima utakuwa nshomire tu wewe. sawa bana. ila mtakufa sana usipofuta ushauri wangu
Hakunaga danga lenye akili..hajaielewa uzi wako amekurupuka na kinyesi kwenye chupi .Nimeuliza ili nipate kumfahamu vizuri,hilo swala la wivu linahusiana vipi na mada
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Kinondoni makaburi ya zamani ni kawaida.Fundi ambaye yuko msibani ameeleza kwamba ujenzi wa kaburi la Ruge Mutahaba umegharimu sh, 4,000,000 za kitanzania
Wewe inaonekana umeumia kwa Ruge kuagwa namna hii acha ujingaBinafsi Ruge namfahamu kama mkurugenzi wa vipindi vya clouds,sifa yake kubwa labda ni kuanzisha fiesta na kuisimamia pamoja na hayo tumesikia vimaneno kutoka kwa sugu,jay dee na baadae diamond,sijajua alikua na wadhifa gani maana nimeona mazishi yake yamehudhuriwa na maraisi wote wawili,mawaziri wakiongozwa na waziri mkuu,mkuu wa mkoa wa dar es salaam,viongozi wa dini na kila aina ya public figure,kwa kumfahamu kwangu kudogo naona kama kawa overated,kwa wanaomfahamu vizuri naomba wanifumbue macho what am i missing about this guy.RIP RUGE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili yako haina akili wewe imani yako ni Uislam inabidi tui heshimu na wengine ni Wakristo inabidi pia tui heshimu wengine kama sisi imani yetu ni ya ki Afrika inabidi tu heshimiwe na wengine hawana dini.. kwa kutojitambua unataka watu wote wafanane wawe waislamu..Ujinga mtupu.
Hebu pateni picha kuchimba kaburi la Ruge alafu maisha yasibadilike hata ya siku mbili basi.
Wachimbaji ambao hawakupata hiyo tender si watawaona mafala?
Hebu pateni picha kuchimba kaburi la Ruge alafu maisha yasibadilike hata ya siku mbili basi.
Wachimbaji ambao hawakupata hiyo tender si watawaona mafala?