TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 





Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sawa waHAYA kwa misifa japo yaeza kuwa kweli
Kaburi la Watani zangu wahaya mengi hujengwa na mainjinia waliosajiliwa na bodi ya mainjinia msilinganishe na ya makabila mengine ambayo kibarua wa ujenzi yeyote mwenye mwiko wa ujenzi anajenga.Injinia anayejenga lazima kwao afanyiwe interview na maprofesa mainjinia toka vyuo vinavyoheshimika
 
Nipo mpendwa, dah imekuwa kitambo sana. Itabidi siku tuanzishe thread tukutane wambea wote tupeane ubuyu maana mida wote huu naamini kila mmoja kapu lake la ubuyu limejaa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahahaaaaaa na kweli shoga angu mweee sema mi siku hizi nimehama mjini unanipitajeeeee na huku jamvini si mkaaji sana
 
Ukiangalia kwa kiasi kikubwa Cha watu waliojitekeza kumzika ruge ni dhahili watanzania wengi ni majobless na Wala si kana kwamba wanamapenzi mazito dhidi ya uyo jamaa lakin serikali hii kipofu yenyewe yaona fahari kwa ule wingi na kuzani ni mapenzi dhidi yake kumbuka mahala popote wanapokuwa wasanii au watu maarufu kuwepo raia wengi ni kawaida


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani Ruge amefanya Mambo mengi, ila kwa hili swala la Mazishi yake amekuwa Overrated saana!, Swala la Marais Kuhudhuria walisoma Upepo wa Msiba, Msiba uligusa wasanii wengi..Kupitia wasanii ukawagusa wananchi wengi.. Politicians wamechukulia Kama Mtaji wa Kisiasa!
 
Kuna vitu vingine ni fedheha kuvitaja. Kwanza unafanya hivyo ili iweje? Shit
Unajua wenzetu wa nchi zilizoendelea walishaona ujinga kama huu ndiyo maana wakaweka mtu anayeitwa msemaji mkuu. Sasa hapa kwetu hawa waandishi uchwara wanavamia na kumhoji mtu yoyote na wahojiwa walivyo wajinga wanaongea hovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…