TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba



Hapo wameenda kama wao sio kama kanisa. Swala la kuzika kidini ni juu ya sheria za kanisa na sio upendo au matakwa ya maaskofu.
 
Hapo wameenda kama wao sio kama kanisa. Swala la kuzika kidini ni juu ya sheria za kanisa na sio upendo au matakwa ya maaskofu.
Wameenda na wametoa ushuhuda mzuri juu ya matendo ya marehemu tena ndani ya mavazi ya kiaskofu, na walitambulishwa kama maaskofu..Huu waliofanya ni ujinga tu.. Mimi ni mkatoliki na naamini ktk kutii sheria za kanisa sana tu, ila kama angekuwa mtu wa hapo kijijini wanae mfahamu lakini hatii sheria wangeenda kama watu wa kawaida? Au na kanisa linjiendesha kisiasa? Wamepotoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…