Kumbe Nandy alikuwa anaosha rungu la marehemu. Ooh pole kwake.
Nimewaona yaan wanatia huruma mnk. Mungu awape nguvuwatoto wote wapo sehemu ya wanafamilia na wote wamevaa nguo nyeupe, wapo na mama zao na Nandy pembeni.
Ila Nandy anapenda sanaa huwa siyo muigizaji kwenye mahusiano.
watoto wote wapo sehemu ya wanafamilia na wote wamevaa nguo nyeupe, wapo na mama zao na Nandy pembeni.
Huko ni kupenda gani, angekuwa kalipiwa mahari sawa. Hii ni mpya kwangu never seen beforeIla Nandy anapenda sanaa huwa siyo muigizaji kwenye mahusiano.
Hujui alipewa nini.Huko ni kupenda gani, angekuwa kalipiwa mahari sawa. Hii ni mpya kwangu never seen before
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuzikwa na kanisa hakumuondelei dhambi mkuu, yaani hapa kanisa langu katoliki limeonesha UDHAIFU mkubwa sana, alikuwepo maaskofu wawili pale uwanjani Gymkhana na walitoa salamu za kumsifu Marehemu na kuomba aliyotenda yaendelezwe, kuacha kuongoza mwili wake kaburini ni unafiki mkubwa sana bora wasingehudhuria toka mwanzo..
Eeh!ndo mchumba yuleKumbe Nandy alikuwa anaosha rungu la marehemu. Ooh pole kwake.
Aiseee. Mungu ampe uvumilivu.
Yupo mbele mbele kuliko wasanii wengine wote
Dah siku zote tangu amefariki sikuwa najisikia vibaya sana km muda ule jeneza linashuka.
Wameenda na wametoa ushuhuda mzuri juu ya matendo ya marehemu tena ndani ya mavazi ya kiaskofu, na walitambulishwa kama maaskofu..Huu waliofanya ni ujinga tu.. Mimi ni mkatoliki na naamini ktk kutii sheria za kanisa sana tu, ila kama angekuwa mtu wa hapo kijijini wanae mfahamu lakini hatii sheria wangeenda kama watu wa kawaida? Au na kanisa linjiendesha kisiasa? Wamepotoka.Hapo wameenda kama wao sio kama kanisa. Swala la kuzika kidini ni juu ya sheria za kanisa na sio upendo au matakwa ya maaskofu.
Anasemwa ni mwanafamiliaYupo mbele mbele kuliko wasanii wengine wote
Mbona ampe uvumilivu.Aiseee. Mungu ampe uvumilivu.
Eeeh unataka ampe mihangaiko?M
Mbona ampe uvumilivu.