Jamani makond juzi alisema atasema neno bukoba amesema neno gan?mliokuwa mnafutailia mtueleze tuelewe waja
Njia ya uzima ni Yesu kristo tuMsianze...
Kinachomuingiza binaadamu mbinguni au motoni, sio misa yako ya wafu imeendeshwa na nani, au watu wamekulilia vipi, bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.
Kwa mujibu wa the law of the karma, Ruge as of now, ameingia peponi straight kwa mengi mengi aliowatendea watu hapa duniani.
Siku ukifika mbinguni, unaweza kushangaa kuwaona hao maaskofu motoni, halafu yule Katekista ndio ukamkuta peponi.
Hata kimataifa, unaweza kumkuta Bush, Blair na Obama, upande wa chini wakiogelea kwenye lile ziwa la jehanum ya moto was milele, halafu ukashangaa kuwakuta Osama, Saadam na Ghadafi wakiwa peponi wakienjoy.
P
kama rundo la matendo mema ndio tiketi, neema haina nafasi tena.Neema is The Lord's Grace, tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo
Karma ni hukumu ya haki kwa mawazo yako, maneno yako na matendo yako.
Kuokolewa kwa neema maana yake Mungu anatuona hadi ndani ya mioyo yetu na dhamira zetu. Hivyo kuna watu wanafanya mema ili tuu watu waone, lakini moioyoni mwao ni mashetani wakubwa. Hawa hata wafanye wema mkubwa kiasi gani, haijalishi.
Kuna watu with nothing, kama mimi nilivyo, ni masikini wa kutupa and yet I'm a rugged trousers philanthropist, Mungu anaona moyo wangu wa kusaidia. Hivi ndivyo alivyokuwa Ruge,
Ni peponi straight, by now tayari yuko mkono wa kuume wa Mungu Baba Mwenyezi, Muumba wa vitu vyote vinavyoonekana na visivyo onekana.
P
Hakuna popote nimesema humu neno langu ni kama sheria?.alafu @paschalmayala jaribu kutambua humu jamvini neno lako sio sheria,
iyo ishu ya karma eti msela wako tutamkuta mbinguni,mimi nawewe hatujui na hatuna hata uhakika wakuwepo kwa hiyo mbingu.
Umeona eee ukweli mchungu kuna watu hawataki kuamini ila ndo hivyo OG ni mange
Na nandy soon ataingia mtegoni kama mange aliweza mdaka zama hadi akavujisha vile saut za R hawezi mkosa nandy kipindi hiki
Alistahili kuzikwa kisela tu, alikuwa msela tu pia. Hivi Mbinguni kuna benchi la wasela!!? I like masela
Msianze...
Kinachomuingiza binaadamu mbinguni au motoni, sio misa yako ya wafu imeendeshwa na nani, au watu wamekulilia vipi, bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.
Kwa mujibu wa the law of the karma, Ruge as of now, ameingia peponi straight kwa mengi mengi aliowatendea watu hapa duniani.
Siku ukifika mbinguni, unaweza kushangaa kuwaona hao maaskofu motoni, halafu yule Katekista ndio ukamkuta peponi.
Hata kimataifa, unaweza kumkuta Bush, Blair na Obama, upande wa chini wakiogelea kwenye lile ziwa la jehanum ya moto was milele, halafu ukashangaa kuwakuta Osama, Saadam na Ghadafi wakiwa peponi wakienjoy.
P
ππππππππππππππππππππππππππππππππKwa muda niliokuwepo pale hakuongea kitu nilikuwa nasubiri kwa hamu kumsikia urojo ataohororoja
Ila jamaa ana shape la maana tako lilipita hadi kwenye ule mkoti alokuwa amevaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka kusema hili nikauchuna...hiyo picha ni hiyo hiyo tu inayotrend kwenye social!that is photoshop kuna element nyingi sana za kuprove kwamba ni photo shop angalia vizuri Blbega la kulia la mwanaFA utaona alama za kukata picha,angalia uso wa mke wa FA na mkono uliomshika bega jide
Inasemekana hata jumuiya alikuwa haendi eti sababu mjasirikwa sababu hakufunga ndoa na amezaa watoto bila ndoa , pia alikuwa hashiriki sakalementi za kanisa na visakalamenti vyake huwa hivyo na wakati mwingine hawafanyi kitu kabisa.
Umeongea yoteMsianze...
Kinachomuingiza binaadamu mbinguni au motoni, sio misa yako ya wafu imeendeshwa na nani, au watu wamekulilia vipi, bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.
Kwa mujibu wa the law of the karma, Ruge as of now, ameingia peponi straight kwa mengi mengi aliowatendea watu hapa duniani.
Siku ukifika mbinguni, unaweza kushangaa kuwaona hao maaskofu motoni, halafu yule Katekista ndio ukamkuta peponi.
Hata kimataifa, unaweza kumkuta Bush, Blair na Obama, upande wa chini wakiogelea kwenye lile ziwa la jehanum ya moto was milele, halafu ukashangaa kuwakuta Osama, Saadam na Ghadafi wakiwa peponi wakienjoy.
P